Recent content by Msuyar Jr

  1. Msuyar Jr

    Natafuta wafadhili wa taasisi yangu ya kielimu

    Mm ni mmoja ya wamiliki wa taasisi chipukizi ya kielimu Maeneo ya Mlandizi. Taasisi inasimamia michepuo ifuatayo; a) Nursery & Day care b) QT students c) Resisters d) English course Pia Taasisi ipo katika mchakato wa kuanzisha Pre&Primary school Kwa mtaala wa kiingereza. Naomba kama kuna...
  2. Msuyar Jr

    North Korea says; It will be An All Out War

    “Tutatekeleza majaribio zaidi katika kipindi cha kila juma,kila mwezi na kila mwaka,” alieleza makamu waziri wa masuala ya kigeni Han Song-ryol alipokuwa akizungumza na mwanahabari wa BBC, John Sudworth. Awali, Makamu wa rais wa Marekani, Mike Pence aliionya Korea kutoijaribu Marekani, akisema...
  3. Msuyar Jr

    Nataka kununua gari ya abiria aina ya costa

    Jamani ndugu zangu, Kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa magari ya abiria aina ya Costa. Naomba kujua gharama zake kwa jipya na yeyote anaejua linapopatikana lilianza kutumika na gharama zake.
  4. Msuyar Jr

    Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

    Hao wanaongea ni wafuasi tu, yy mwenyewe kakaa kimya kwan anajua litakalomkuta
  5. Msuyar Jr

    Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    Waziri wa Habari, utamaduni, vijana na michezo kwenda kutembelea sehemu ya kazi yake imekuwa kiherehere. Wacha kuwa maziwa mgando kijana, uwe na facts mda mwengine. Tambua hakuna binadamu asiyefanya kosa, na ukifanya kosa unastahili adhabu ndio maana Kwa Mungu kuna moto Kwa watu Kama akina Bashite
  6. Msuyar Jr

    Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

    Mkishaamua nchi yenu muiendeshe kwa matukio msilalamike pale matukio yanapowakandamiza nyinyi... Wacha muisome namba tu Msisahau kumfollow MangeKimambi kushuhudia anguko la clouds media group
  7. Msuyar Jr

    Laurence Masha ajitoa kugombea Urais TLS, amuunga mkono Tundu Lissu

    Serikali hii haiwezi muacha kirahisi mtu kama Lissu akamate nyazfa muhimu Kama ile... Nguvu na umakini wa ziada unahitajika
  8. Msuyar Jr

    UEFA Champions League & UEFA Europa League draw

    Bayern vs Juve Barcelona vs Leicester Madrid vs Monaco Atletico Madrid vs BVB Mm nimeona hv. Subiri muone
  9. Msuyar Jr

    Naomba msaada wa kuandaa Proposal

    First nataka nifanye mradi wa kuku wa kienyeji... And pili nataka niandae proposal ya kuomba ratiba ya kipindi ktk moja ya redio pendwa hapa mjini, idea ya kipindi nnayo
  10. Msuyar Jr

    Tunapamba kumbi za sherehe na kutengeneza keki

    Hata ubarikio na kumbi za mikutano tunapamba
  11. Msuyar Jr

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Uko mkoa Gan? Tuangalie Gharama zake
  12. Msuyar Jr

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Fanya biashara ya kuku ndungu inalipa Sana iwapo utaitilia mkazo... Kuna wale kuku wa SINGIDA au wakienyeji wakubwa. Ukitafuta ndan ndan kwa gharama nafuu utaiona faida yake. Soko zuri lipo bugurun au TANDIKA. Ukihitaji maelekezo zaid +255719034702
Back
Top Bottom