Recent content by Msuyamani

  1. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania U JUHA WA AJIBU NI WA KIWANGO CHA FLYOVER

    We nani alikwambia kama TP walitaka wamjaribu kwanza, wenyewe walitaka kumsajili moja kwa moja bt habari zilizopo ni kwamba Ajib kakataa kwa madai wameshindwana maslahi (ujinga)
  2. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Tabia hizi za Rais Magufuli zinaishushia hadhi taasisi ya Urais

    Hiyo kweli
  3. Msuyamani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Kama unaona aibu kwa ndugu yako wakati una matatizo, unawezaje kumuamini mtu mwingine? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Msuyamani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    We umeshindwa kuwashirikisha ndugu zako lakini imetushirikisha sisi, ina maana unaiamini mitandao kuliko ndugu?........#unazinguaWewe! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    Unayoishi wewe, kwa hyo kwa mtindo ule unawezasema walipandishwa kizimbani? Adhabu ya chini kwa mtu anayekutwa na hatia ya madawa ya kulevyo ni miaka 20 jela......ndo maana nashindwa kuwaelewa.
  6. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    Kwa nini Manji? Mbona kina tid hawakupandishwa kizimbani pamoja na kukiri hadharani kwamba ni watumiaji?
  7. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Naombeni kueleweshwa juu ya hili saula la mb kua pesa

    Kwa hyo ni biashara, kama ndivyo tra kwa nini hawachukui mapato cku zote?
  8. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Naombeni kueleweshwa juu ya hili saula la mb kua pesa

    Anapataje hiyo pesa?.....hebu fafanua.
  9. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli asema anaweza kubadilisha noti kudhibiti wanaoficha hela...

    Kwa hiyo wakati wa kuzibadilisha hizo fedha wao wataendelea kukaa nazo tu?......akili zingine bhana!
  10. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania Aina 5 za aliens wanaowasiliana na dunia

    Mara nyingi waafrika tumekuwa watu wa kupenda kuambiwa kuliko kutafiti.Ndo maana muda mwingine hawa wazungu wanatudanganya tu wanavyotaka.
  11. Msuyamani

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Magufuli anayo siri LUGUMI

    Hapa ishu sio cdm wala ccm,.....simama kama wewe kuitetea Tanzania na wananchi wake.
Back
Top Bottom