Hili ni jipu PPF wakitoa mafao yako bado wanatoa nusu nusu, lingine mfano mimi nafanya kazi mgodini na kazi yangu hatari nyingi ki-afya, kufikisha miaka 55 ni hadithi. Ajira yenyewe ya muda, mfano nina miaka 28 kazi nimefanya miezi 6. Thamani ya milioni 2 leo haitafanana na ya miaka 26 ijayo, ni...
Kuna kijana aligombea udiwani kupitia ccm kata ya saza jimbo la songwe alipodondokea pua philipo mulugo alimuahidi ukuu wa wilaya utafikiri anateua yeye mulugo najua hizi habari mbaya Kwake
Prof magu 47 natamani nikutukane una bahati nimepiga mswaki alfajiri hii, mnacoment kitu msichokijua, nafanya kazi mgodini najua tabu yake unaropoka tu,au umepiga kitwanga za bariiiiidi asubuhi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.