Recent content by MSUMARI WA MOTO

  1. MSUMARI WA MOTO

    Zitto Kabwe,hili dongo umelielekeza kwa watu gani?

    Hii bayana inamhusu Bwana PolePole.
  2. MSUMARI WA MOTO

    Ndugai: Hamna cha kesi, Mimi ndio spika watakaa benchi mwaka mzima

    Ndugai sasa hivi na yeye ameamua kuwa Mtiifu kwa Bwana Kipara! Nadhani ameshasoma alama za nyakati! Sasa ni Rasmi, BUNGE, MAHAKAMA, pamoja na SERIKALI zote ziko chini ya Mzee wa FRENT FORD.
  3. MSUMARI WA MOTO

    Upinzani wa Tanzania hauna afya

    Upinzani wa Tanzania ulipokosea ni hapa tu! Ulinyimwa fursa za kufanya kazi za kisiasa nao wakaufyta, badala ya kuzidai kwa nguvu.
  4. MSUMARI WA MOTO

    Pale unapo pata hela za korosho na hunywi pombe..

    Kuna freedom ya kunywa soda, but not to that extent...! Ila jamaa itakuwa naye HAPANGIWI.
  5. MSUMARI WA MOTO

    Kwanini Umoja wa Mataifa(UN) hauna Mwenyekiti bali Katibu Mkuu?

    Secretary-General of the United Nations - Wikipedia
  6. MSUMARI WA MOTO

    Ningekuwa mwana-CCM hakika leo leo ningehama chama

    Sasa wewe ndugu yangu uanayezungusha wowowo hapa mchana na usiku kuiteteta CCM, ulishawahi hata kuonja juice ya Ikulu?
  7. MSUMARI WA MOTO

    Miaka 11 tangu ya kifo cha nguli wa HIP-HOP: Father Nelly

    Edit uzi wako uweke hii picha ya kaburi pale juu, ili kuweka kumbukumbu sahihi!
  8. MSUMARI WA MOTO

    Miaka 11 tangu ya kifo cha nguli wa HIP-HOP: Father Nelly

    Ndio uzuri wa JF hapa tunanata na Fact, Hii Picha niliipiga mwaka 2011 nilipozuru kaburi lake maeneo ya Njiro, Arusha.
  9. MSUMARI WA MOTO

    Miaka 11 tangu ya kifo cha nguli wa HIP-HOP: Father Nelly

    I used to know this guy...! Lala salama Nelson.
Back
Top Bottom