Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Kuna wine zisizo na kilevi!!! Mfano PureHeaven, Ariel n.kWine nayo ni pombe na sie wengine hatunywi pombe aina yoyote,ungemshauri anywe redbull tu
Kuna wine zisizo na kilevi!!! Mfano PureHeaven, Ariel n.kWine nayo ni pombe na sie wengine hatunywi pombe aina yoyote,ungemshauri anywe redbull tu
Kuna vinywaji vingi tu visivyo na alcohol... Malta na BavariaWine nayo ni pombe na sie wengine hatunywi pombe aina yoyote,ungemshauri anywe redbull tu
Yap hizo nazifahamu na ndo huwa nazitumia,sanasana napendelea monster energy.Kuna vinywaji vingi tu visivyo na alcohol... Malta na Bavaria
Hizo mi naziita juiceKuna wine zisizo na kilevi!!! Mfano PureHeaven, Ariel n.k View attachment 488430
Hiyo ata jina lake tu silipendi!!!Yap hizo nazifahamu na ndo huwa nazitumia,sanasana napendelea monster energy.
Kwa tusiotumia alcohol ni wine!!!Hizo mi naziita juice
Jamani mbona iko poa sana,jina lisikutisheHiyo ata jina lake tu silipendi!!!
Hahah nawaelewaa,mnajipa moyo nanyie mkiwa maeneo ya kujidai mnaonekana mnakunywa wine.baltika siipendi haina hata sukariKwa tusiotumia alcohol ni wine!!!
Hahaha eti call me j... Mi nahisi wanavipaji maan huyo jomba sio kwa soda hizomimi nahisi call me j kunawashamba duniani hakuna
Anatafuta matatizo huyo.ambulance itakuja kumbeba na break ya kwanza hospital... Starehe inaishia wodin[/Q
nliwai enda mnadan irnga sehem inaitwa pawaga nlikuta wasukuma na wa mang'ati, yaa wanakunywa soda nne ila tofaut tofaut, alianza na pepsi akaja mirinda nyeus, akaja koka badae aka2lia na fata orange nlpoulza nkaambiwa kawaida yao
Kwa tusiotumia alcohol ni wine!!!
Mi natumia club soda tu!!!Nakushauri utumie na grants haina alcohol kabxa... Usisahau kutuletea mrejesho#ndukii
Mi natumia club soda tu!!!
Hahahaha!nliwai enda mnadan irnga sehem inaitwa pawaga nlikuta wasukuma na wa mang'ati, yaa wanakunywa soda nne ila tofaut tofaut, alianza na pepsi akaja mirinda nyeus, akaja koka badae aka2lia na fata orange nlpoulza nkaambiwa kawaida yao