Mkuu umenipata vizuri!Nakubaliana na wewe kwa hoja kuwa upinzani umekosa alternative solution, lakini haimaanishi CCM ni bora abadani..
Sumaye na Lowasa walikuwemo baraza la mawaziri kumbuka hilo!Ni mpu..mbafu gani aliyeuza nyumba za serikali?
pia ccm chama dhaifu kinachotegemea vyombo vya dola kutawala kwa mabavu, nami sitashangaa hiki chama kusambaratika baada ya mbeleko ya polisi kuanza kusambalatishwa huko kibitiHuo ndio ukweli upinzani limekuwa ni eneo la kusakia fursa badala ya kuleta mawazo mbadala ya kuwapatia wananchi maendeleo ya kweli. Awamu hii fursa za kisiasa zimepungua na mirija ya kunyonyea imezibwa, hivyo itawashangaza wengi kuona wimbi kubwa la viongozi waliojiaminisha kuwa wapinzani wakirejea CCM. Binafsi sitashangaa kabisa kuwaona Lissu na Mnyika wakikabidhiwa kadi za CCM kwani msimu umebadilika. Ahsante!
Upinzani wa kweli haukuba kuminywa.Mpaka kieleweke tafsiri yake ni pana.Nginja nginja! Pipooozi!Sababu ni kuwa hakuna uhuru wala haki ya kufanya siasa zenye afya wala mijadala yenye akili! Mukulu akiruhusu wapinzani watakuwa na afya! Mshauri abadili utaona watu wanavyofunguka!
Sawa. Ndiyo wanaokula fedha za marehemu (rambi rambi)Sumaye na Lowasa walikuwemo baraza la mawaziri kumbuka hilo!
Huo ndio ukweli upinzani limekuwa ni eneo la kusakia fursa badala ya kuleta mawazo mbadala ya kuwapatia wananchi maendeleo ya kweli. Awamu hii fursa za kisiasa zimepungua na mirija ya kunyonyea imezibwa, hivyo itawashangaza wengi kuona wimbi kubwa la viongozi waliojiaminisha kuwa wapinzani wakirejea CCM. Binafsi sitashangaa kabisa kuwaona Lissu na Mnyika wakikabidhiwa kadi za CCM kwani msimu umebadilika. Ahsante!
Siasa mapambano. Siasa sio birthday cake. Pambaneni.Dr Slaa alipambana.Op sangara. M4C. Mabomu ya Arusha. Hakuchoka hadi JK akakonda.Nawashangaa sana chama cha makinikia. Mlienda shule kusomea ujinga? Leo wapinzani wakiandaa hata mahafali tu chuoni. Polisiccm hawa hapa wanazuia. Ila UVCCM wakiandaa ruksa. Halafu leo mnajisifu na Yohane Pondamali Magugu kuwa mewatokemeza wapinzani.
Mtihani utunge ww, ujisahihishe ww halafu ujisifie umepata mia.
Kwa taarifa yako tu upinzani siyo Mbowe, Lowasa au Tundu Lissu.
Kuuza kuna kosa? Magari na Mali nyingine za serikali hazijawahi kuuzwa?Ni mpu..mbafu gani aliyeuza nyumba za serikali?
Ccm ni dhaifu kwa sababu opponents ni dhaifu zaidi.Hakuna mbadala Sibadili bura yangu na rehani.pia ccm chama dhaifu kinachotegemea vyombo vya dola kutawala kwa mabavu, nami sitashangaa hiki chama kusambaratika baada ya mbeleko ya polisi kuanza kusambalatishwa huko kibiti
Teh teh teh kwa fisadi siyo kosa ila kwa asiye fisadi ni kosa.Kuuza kuna kosa? Magari na Mali nyingine za serikali hazijawahi kuuzwa?
Pandora box.
Umeandika kwa povu jingi sana. Ulikuwa unaifanyia shopping hela za marehemu(rambi rambi)?Siasa mapambano. Siasa sio birthday cake. Pambaneni.Dr Slaa alipambana.Op sangara. M4C. Mabomu ya Arusha. Hakuchoka hadi JK akakonda.
Nyie mkifinywa kidogo tu nywiiii.kimya!
Mkuu kufunguka sio ndiyo kuwa na afya, unaweza ukawa mfungukaji ikawa unafunguka ujinga tu. Lazima tukubali mirijja ya magumashi imezibwa. Ndiyo maana wapigaji wanajaribu kumuundia zengwe mkulu.Sababu ni kuwa hakuna uhuru wala haki ya kufanya siasa zenye afya wala mijadala yenye akili! Mukulu akiruhusu wapinzani watakuwa na afya! Mshauri abadili utaona watu wanavyofunguka!
Mlilemazwa na Mzee vya bure kwamba kila kitu siasa, mlisahau kuwa siasa sio hasa!!..Mna hangaika bure ccm.na movie zenu za kupanga,upinzani usingekuwa na afya.usingekatwa kufanya mikutano ya kisiasa,wasingekamatwa.
Enzi ya kikwete kulikuwa na vya BURE?Mlilemazwa na Mzee vya bure kwamba kila kitu siasa, mlisahau kuwa siasa sio hasa!!..