white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
mzee wa msogaunakumbuka Nani Alisema CCM kuna Mafisi?
mzee wa msogaunakumbuka Nani Alisema CCM kuna Mafisi?
Hahahaha well saidChama Cha Demogasia na Malalamiko
umeongea kwa uchungu lakini pole sana ndio siasa ilivyoHaiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.
Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?
Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Hovyo!! So what!?CCM ni chama tawala. CCM ni chama dola
Sasa wewe ndugu yangu uanayezungusha wowowo hapa mchana na usiku kuiteteta CCM, ulishawahi hata kuonja juice ya Ikulu?CCM ni chama tawala. CCM ni chama dola
Safari hii mtanyooka, juice kwa ukawa huko ikulu hamna, raundi ijayo anaenda joti ikulu, andaa uzi mwing8ne wa povu!Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.
Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?
Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.
Umenikumbusha kipindi cha Dr Slaa kaipigania sana Chadema, Lowasa alikua Waziri mkuu anashiriki kupiga mabomu Chadema, ila Slaa, akapotezewa akapewa Lowasa jembeHaiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.
upo ushahidi kwamba vijana wanaounga mkono ccm wana uwezo mdogo mno ! Wengi ni wahanga wa dhiki za familia zao , unaweza kuta huyu lizaboni anaishi kwa mmoja wa viongozi wa ccm , baada ya kukimbia dhiki kwao .
Kwa hali kama hiyo hata wakinyanyaswa vipi hawawezi kuhama ccm , watakula nini ?
Akijibu uniambie mana huyo nae fisi jikeunakumbuka Nani Alisema CCM kuna Mafisi?
Mkuu Mwanahabari Huru,, umeyalipua vibaya mnooooooo!!! Haya uwezo wa kufikri, eti leo hii yanazidiwa umaarufu na Ney wa Mitego?? Uuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiii!!Haiwezekani nikeshe mitandaoni nikiposti picha mbalimbali za Magufuli huku nikiandika "Magufuli jembe; Hapa kazi tu; Mtaisoma namba; Magufuli nitamchagua tena 2020; CCM oyee; wapinzani wajinga tuu; Makonda ni shujaa; nk." Na nisiwe appreciated, sijawahi hata kuonana na kiongozi wa chama ngazi ya Kata.
Lakini anatokea MTU mmoja anaimba nyimbo anasema "Kichaa kapewa rungu; We MTU gani hutaki kushauriwa wala kukosolewa, umerogwa wewe, unajiona ni ndugu yake Yesu; hakuna Uhuru wa habari wala taarifa ya habari, wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali; kuna viongozi wavuta bange, wapoo, maana wana maamuzi ya kise... Wapoo, na waliopoteza marinda, wapoo, kuna viongozi waliofoji vyeti wapooo; Mhe. hivi unamjua BASHITE?
Hili ni jipu jipya toka Kolomije; nk." Anaalikwa IKULU (State house) kwenda kula mishikaki na Rais (Mwenyekiti wa CCM), Waziri anampongeza na kumtaka atembelee Bungeni akapongezwe zaidi.