Serikali inachemka... serikali iandae mazingira ya raia kufanya biashara yenyewe ikisanye kodi na sio yenyewe kufanya biashara... mfano imeua Fast jet ifanye biashara sasa inataka kuwa na vituo vya mafuta wapi na wapi? Serikali ipi inasimama kiuchumi kwa kuua sekta binafsi? Muda sio mrefu...
Huyu mnyama Nyasebwa ni shida... sio mwanadamu bali mnyama wa porini tena mbwa mwitu anasumbua sana watu pasipo kujali umri wao... kauza viwanja vya watu kwa dhuruma kanunua kiraum cha blue bahari... chuo alichosoma huyu mnyama wanatakiwa wamvue hilo gamba
Tena bora kaondoka yule ndongo walikua...
Simba na Yanga wamiliki ni Chama pendwa ikitokea mtu kawa na nguvu kwenye hizi timu anakua anatishia uhai wa uwepo wa chama pendwa ndio maana yanga ikiwa sawa jua simba kuna shida pia simba ikiwa poa upande wa pili kuna jambo hakuna mwaka zote zitakua sawa keep in your mind ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.