toplemon JF-Expert Member Mar 26, 2017 4,581 4,631 Nov 2, 2019 #1 Nilisikia toka mwaka juzi kuwa Azam anakuja na line zake yaap mtandao wake ambao utaitwa Azam telecommunication Leo ni kimya tu Nikasikia na taarifa kuwa azam anakuja na kisimbusi cha antenna aka dvb t2 mpaka leo kimya
Nilisikia toka mwaka juzi kuwa Azam anakuja na line zake yaap mtandao wake ambao utaitwa Azam telecommunication Leo ni kimya tu Nikasikia na taarifa kuwa azam anakuja na kisimbusi cha antenna aka dvb t2 mpaka leo kimya
Kawe Alumni JF-Expert Member Mar 20, 2019 8,685 11,988 Nov 2, 2019 #2 Wawekezaji kutoka Asia walisitisha Nadhani Walitaka watumie jina la Mzee kupiga biashara, km kumbukumbu zangu zipo sawa
Wawekezaji kutoka Asia walisitisha Nadhani Walitaka watumie jina la Mzee kupiga biashara, km kumbukumbu zangu zipo sawa
Sirdirashy JF-Expert Member Jan 26, 2014 3,223 2,951 Nov 2, 2019 #3 Ukiona hivo ujue hakuna kweli ni tetezi
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,224 142,026 Nov 2, 2019 #5 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: mahondaw
N nyumbamungu JF-Expert Member Mar 3, 2017 997 828 Nov 2, 2019 #6 Kumbe , Duh!! Kawe Alumni said: Wawekezaji kutoka Asia walisitisha Nadhani Walitaka watumie jina la Mzee kupiga biashara, km kumbukumbu zangu zipo sawa Click to expand...
Kumbe , Duh!! Kawe Alumni said: Wawekezaji kutoka Asia walisitisha Nadhani Walitaka watumie jina la Mzee kupiga biashara, km kumbukumbu zangu zipo sawa Click to expand...