Recent content by Msuguaji

  1. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Tuanue "tanga".. Mwandambo ndio basi tena

    Nna mashaka! watakuwa walisha-mtatua rinda huyu kabla hawaja m-recruit kuwa mmoja wao!
  2. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Je, unazijua dini nyingine zaidi ya Ukristo na Uislamu?

    Hakuna dini inaitwa katoliki bali kuna dini inaitwa Christian....na madhebu yake ikiwemo roman Catholic, Seventh Day adventist na wengineo
  3. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Connection walizopewa wageni.. Ndio zinazoitesa Tanganyika

    ...
  4. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Kuna binti mtaani kwetu anatumia uzuri wake kusambaza UKIMWI

    Sasa si uwaambie kwa mdomo!, hao jamaa wa mtaani kwako wako humu? Mambo yanayomuhusu juma unayaleta kwa paroko wakati imamu unaishi nae mtaa mmoja!
  5. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    Darasa huru la sheria linalotembea?............. Jibu kama MTANGANYIKA mwenye akili Timamu........
  6. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Hotel inauzwa, ipo Samora Dar es Salaam. Bei ni dollar milioni 6

    Uko serious kweli dalali!? Kwamba humu Jf utampata mnunuzi wa Dolar mil 6?
  7. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Unapoandaa shamba na kupanda ama kupandiwa mbegu...huwa unategemea nini?!
  8. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Je, tamasha la miaka 30 ya bongo fleva linarudiwa au?

    HALIWEZI KURUDIWA ABADAN! Lilikuwa Tamasha la Kimkakati lile! MDHAMINI MKUU ALIPEWA ZA USO! KNOCK OUT...KWENYE RAUNDI YA KWANZA TU JUKWAANI! Mwenye mbwa wake alikuwa ashajiandaa kupiga simu!
  9. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Mtu alie-yatanua mapaja yake kwa hiyari yake mwenyewe! Unamwitaje mhanga?!
  10. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Nina uhitaji wa mke wa kuoa

    Miaka 42, bado unaogopa kuongea na wanawake mtaani kwako?! Domo zege!, Mke wa kuoa hapatikani Jamiiforums, Humu wadada Watakulia hata hicho kidogo ulichodunduliza
  11. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Karata yangu kwa SPAIN, kama unataka kubeti, mpe Spain utakuja kunishukuru

    Kama unahisi kubeti ni rahisi hivyo...weka na wewe hela uone!... si una uhakika utakula!.
  12. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maelekezo toka juu: Fungeni account za CHADEMA siku chache kabla ya mkutano mkuu, wape kesi ya utakatishaji

    Info zako hazijawahi kufeli, Ni vyema sasa Chadema watoe hizo pesa muda huu, ili mkutano wa baraza kuu usije kushindwa kufanyika.
  13. Msuguaji

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini kitambulisho cha mpiga kura kinatoka ndani ya siku moja, cha NIDA kinakaa miezi?

    Umetengenezwa urasimu wa makusudi, maana huu ni mradi endelevu wa watu kupiga pesa! Kitambulisho chenyewe tunachokatwa 20k, hata kadi ya harusi ya sh 2000 ina ubora kuliko hicho kikadi chao!
Back
Top Bottom