Hujaambiwa kuna hasara za kuoa, kwa sababu sio kila mtu anafaa kuoa au kuolewa.
Ni kweli tunatakiwa kujiepusha na kila lenye hasara, lakini haina maana kuwa kila lenye hasara linaachwa, kwa sababu kuna mambo mengine faida yake ni kubwa zaidi kuliko hasara yake, ambayo ni kama sawa na hakuna hasara.