Hilo pigo lipo coz ccm wameshinda? Vip Dada Wa tundu lissu na Nyumba ndogo ya mbowe na Mkwe Wa ndesamburo hiyo haijawa familia ipo serikalini jikagueni saaana wote mnatumia mfumo wa kifalme na kitemi hapa chama ruhusu vijana walete mabadiliko mbowe slaa wameshindwa kukemea na kusimamia maadili...
Sasa huoni wamepata umaarrufu maana hawajasahaulika maana chama cha matukio Sasa hivi wanazungumzia posho kabla yake ilikuwa tamko la JK na nyuma kabisaaa ilikuwa Chopa Vs Zitto
Yaan ninacho shauri Mm juhudi za makusudi zichukuliwe maana sio kumnyooshea kidole Mr president ni kama sisi tunazuia shambani yaani mbugani basi wao wazuie viwandani na sokoni maana ndo ushirikiano na si unafiki wao Wa kuwatenga baadhi na kuwachagua baadhi
Hamna haja ya kuwakumbatia hawana faida mbona wao till now hawajatia saini ktk mkataba wa kioto ni upumbavu tu muuwaji wa kiafrika anatengwa Wa kizungu anapendwa wao wamefanya baadhi ya visiwa vipotee na hata bar a la Antarctic kupungua ukubwa wake wanajifanya walinda tembo hali maisha ya...
Real yaonesha hilo bifuu linahusiana na trust in love logistically kulea mimba na mtoto kipi ni gharama? Inauma sana kuilea mimba c yako ukijua yako mimba inapozi leo ctaki chips nataka mihogo wakati anajua kuwa co msimu wa mihogo alafu unanoambia mtoto c damu yako? Mabint acheni mapepe...
CDM ni waajabu sana tazama yale waliyoyapinga Bungeni wanaenda Kupoozwa Ikulu na Vinywaji wakitoka hawana majibu tofauti na yale waliyoyakataa Bungeni ukiwadadisi Mmezungumza nn ahhh ciri yetu. Ni wanafiki walipinga nguvu ya Rais ktk Tume ya katiba mwisho nguvu palepale na wameteua wajumbe...
Hiyo Absalom kibanda asimkomalie Nkamia aanze na wahariri wenzake anaowasimamia waache kununuliwa na kufuata mkumbo waandike habari za maana hata kama hazita pendwa na wengi Lakin zinamantiki na jamii na zinalinda taaluma yenu tasnia ya habari inanuka Rushwa na Ukunguru mnanunuliwa kwa vigari...
Anywe Maji zaidi ya liter 2 kwa siku ,atumie matunda hususan yenye fiber kwa wingi mfano papai pia ale vuakula laini kama viazi vya mchuzi na supu kwa mfululizo kikubwa Maji na matunda itakufaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.