Ungekuwa ni wewe mdada ungefanyeje.

Ungekuwa ni wewe mdada ungefanyeje.

Ww muhudumie tuuu mana hata ww mtoto ni wako

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Umeonaee bidada mimba kama haimsumbui asijibweteke atafute chochote na akishajifungua asimsumbue huyo mwanaume kumdai pesa,jitahidi ajihudumie kwa kadri awezavyo wanaume hawa acha kabisa,...
Ningekuwa mie nngelea mimba yangu peke yangu na nikishajifungua naendelea kumlea na kumtunza mwanangu peke yangu, halafu huyo mwanaume ole wake ajilete!
 
Lucz hata sku nyingne usimwamin mtu! Hii n mara ya pili nakuambia maneno haya........... Umwamin mwanaume mpaka akutolee mahali lakin vingnevyo utaishia kulia miaka yote
 
RED:1. hatuwaammini, mnakuwa na wengi
2. nilikwambia muda wa kuibeba haujafika, ukajiachia

Blue:mate yako nilishayaogea, na unajua hilo...hayawezi nitisha saa hizi

Aaah wapi.... Wanaume wasikuhizi waoga wa kuyakabili majukumu ya kuwa na familia mwishoe mnakuja na excuse kibao!

Halafu ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi!!!!!!!
 
Umeonaee bidada mimba kama haimsumbui asijibweteke atafute chochote na akishajifungua asimsumbue huyo mwanaume kumdai pesa,jitahidi ajihudumie kwa kadri awezavyo wanaume hawa acha kabisa,...

aanze sasa kufanya maandalizi ya malezi ya kijacho pamoja na yeye mwenyewe, sio anajifungua ndio anaanza kuangaika walah atamsaka baba mtoto!!!!!!
 
Tena ataenda kwa magoti,bibie achangamshe akili.
aanze sasa kufanya maandalizi ya malezi ya kijacho pamoja na yeye mwenyewe, sio anajifungua ndio anaanza kuangaika walah atamsaka baba mtoto!!!!!!
 
Real yaonesha hilo bifuu linahusiana na trust in love logistically kulea mimba na mtoto kipi ni gharama? Inauma sana kuilea mimba c yako ukijua yako mimba inapozi leo ctaki chips nataka mihogo wakati anajua kuwa co msimu wa mihogo alafu unanoambia mtoto c damu yako? Mabint acheni mapepe hatukwepu gharama mtoto anagharama kuliko mimba.
 
Ningekuwa mie nngelea mimba yangu peke yangu na nikishajifungua naendelea kumlea na kumtunza mwanangu peke yangu, halafu huyo mwanaume ole wake ajilete!

Huo ndo ushauri maridhawa kabisa kabisa. Ameshakutema mapema kuwa usimjue sasa unaenda tena kumwambia hukuitoa kwa kuogopa tu kufa.
Komaa na mimba yako, mlete mtoto duniani, tena kimya kimya pale hospitali. Wakikuuliza jina la babaye wape jina lako la utotoni. Akijakua mkubwa mtoto mwambie babake aliliwa na nzige hivyo hayupo. Huyo mtu hakufai hata kwa dawa. Huyo ni mwanamume au ngiri pori tuu!
 
Huo ndo ushauri maridhawa kabisa kabisa. Ameshakutema mapema kuwa usimjue sasa unaenda tena kumwambia hukuitoa kwa kuogopa tu kufa.
Komaa na mimba yako, mlete mtoto duniani, tena kimya kimya pale hospitali. Wakikuuliza jina la babaye wape jina lako la utotoni. Akijakua mkubwa mtoto mwambie babake aliliwa na nzige hivyo hayupo. Huyo mtu hakufai hata kwa dawa. Huyo ni mwanamume au ngiri pori tuu!

Thanks kwa ushauri.
 
Habari zenu wana MMU. Nilikuwa na bf kwa bahati nzuri nina ujauzito wake.Nilipomwambia alinipa hela niitoe mimi sikuitoa nikakaa kama miezi miwili nikamwambia mimba sikuitoa kwa sababu naogopa kufa. Akasema atatoa matunzo nikijifungua na kudhibitisha mtoto ni damu yake ila kwa sasa hata changia chochote. Ungekuwa ni wewe ungefanyeje. Majibu ya kejeli sitapenda.

dada, huyo ameshakimbia, cha msingi ni kujipanga mapema jinsi ya kumlea kijacho, wanawake tunaweza mwaya.
 
Huyo mwanaume hana future na ww na kakuchukulia kama chombo chake cha starehe sijui mlikuwa na malengo gani mlipoanza mahusiano yenu lakini inavyoonekana anajua hayupo peke yake kwenye huo mzunguko wa watu wako.Pole sana kwa yalokukuta ijapokuwa naweza kusema ni uzembe na ni majaribu ya maisha!Nakushauri ulee ujauzito na uzae kwasababu huna haki ya kuchukua uhai wa kiumbe hiko..na hujui nani atakuja kukufaa huko mbeleni!
 
Kwanza kabisa nakuomba acha kuwaza sana maana kufanya hivyo kwa weza sababisha msongo wa mawazo kwako hivyo kuhatarisha hali ya mtoto aliyetumboni. Pili, mwambie Mungu, akusamehe lakini pia akupe nguvu, afya njema na ustahimilivu wa kulea ujauzito wako. Kwa kuwa Mungu wetu ni mwingi wa rehema na aliyejaa neema kwa watu wake, mtegemee yeye. Kuna watu hapa watakulaumu kana kwamba wao ni watakatifu mbele za Mungu, wapuuze. Nakuombea afya njema dada
 
Kwanza kabisa nakuomba acha kuwaza sana maana kufanya hivyo kwa weza sababisha msongo wa mawazo kwako hivyo kuhatarisha hali ya mtoto aliyetumboni. Pili, mwambie Mungu, akusamehe lakini pia akupe nguvu, afya njema na ustahimilivu wa kulea ujauzito wako. Kwa kuwa Mungu wetu ni mwingi wa rehema na aliyejaa neema kwa watu wake, mtegemee yeye. Kuna watu hapa watakulaumu kana kwamba wao ni watakatifu mbele za Mungu, wapuuze. Nakuombea afya njema dada

Thanks kwa ushauri na kunielimisha.
 
Aaah wapi.... Wanaume wasikuhizi waoga wa kuyakabili majukumu ya kuwa na familia mwishoe mnakuja na excuse kibao!

Halafu ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi!!!!!!!
sisi ni waoga, nyie mnajidai mnaudhubutu sanaeee au ndio "lazima unioe wewe"
yaani ungenipiga wala singesikia
 
Back
Top Bottom