Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #21
Mkuu Bramo, hata kupetition kuwa advocate sijapetition na huwezi amini mahakamani sijakanyaga!, kwa sasa nafanya media wind up niachane rasmi na media ndipo nigeukie upande wa pili, bahati mbaya sitajielekeza kwenye litigations, mimi nitajikita kwenye legal opions only hivyo hutakaa unione au unisikie mahakamani!.Mkuu Pasco hivi na wewe unapataga client wa kuwatetea Mahakaman.
Nadhan watakuwa wote wameshindwa kesi na pengine kuswekwa Lupango kabisa
Happy New Year!
Pasco.