Mtu ana SMG na risasi 30 chemba anajiona mjanja kweli kweliii, kumpiga mtu asie hata na panga,
Hizo bunduki mtaziona nzito, hizo bunduki mnazozikabidhi kazini mtatamani kurudi nazo nyumbani lkn itakuwa mshachelewa!!!
Tatizo lakuchukua wajinga na kuwapa mamlaka kubwa ndo haya tunayoyaona sasa...
Mkuu usibishane Sana na wapumbavu/ wapuuzi humu jukwaani wengine wanajiona wajanja Sana kupiga watu Tena raia asiye na silaha,
Wengi wao Ni vikuruta vya jkt, km polisi basi Ni private aliye feli kbsa!!
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Kijana unajiona mjanja Sana, endeleeni tu, mnachokitafuta mtakipata
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Ooh usijaliii Matofali Hana shida Sana, kikubwa Kabla ya kupga prob inabidi mumwone
Mi mkuu lipiga ESM...hivyo hayo Mambo ya DSC cjajua labda unieleweshe vizuriii!!
Kama upita vizuri kwak kazuzuru, Nyerere madam Rose basiii endelea kukaza but I mkuu
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu...
Hongeraaa Sana kwa kufika semister ya tano na Sasa upo ya sita, usijali kaza but komaa na Discussion,pitia Pepa zaidi kipindi Cha UE jitahidi kupiga Pepa zote masahihisho yaan test1,2, pia assignment
Hakika graduation itakuhusu,
Tumepita hapo mazimbu hao Wakina Matofali usiwaogopeee hata Tegeja...
Zipooooo za walimu wa sayansi kasoro walimu wa fizikia lakini hesabu,kemia,biologia na kilimo wapo
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Wakuu naomba kujua machache kuhusu mkekabet,
Je dau la mwisho kuweka Ni lipi? Yaani kubet unaruhusiwa kuweka hata 5mil?
Je kushinda ukishinda mfano milioni 20,au 50 je watakupaje? Yaani utapataje?
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Ni hatariii Sana kwa taifa, ajira Serikali imeamua kuweka kapuni hii ajenda, ukifukua na kutafuta jobless graduates Ni zaidi ya laki Saba!!
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Naona uzalendo halisi unazidi kutoweka kwa Kasi ktk viongozi wetu, hivi kuambiwa ukweli imekua dhambi na kosa siku hizi?
CAG katoa hoja basi wajibu kwa hoja na si kupiga vijembe na tarabu ..hapo ndo udhaifu uliosemwa unapojidhiilisha hivi spika kuanza kujadili madeni ya Mbunge Ni uimara au...
Duuh, mkuu hi njia IPO kitalamu?
Maana sababu za mtu kukoroma
1) kuchoka Sana
2) uzito kupita kiasi
3) hewa kuwa nzito, upungufu was oksijeni
4) kurithi japo haijathibitishwa
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Haaaaaaaa Mkuu polee sanaa, ulikosea step mwanzo tu, ungemwambia huyo Shem wako!!!
Mkuu upo Idodi kabisa au mapogoro, lyangolo haaaaaaaaa!!
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaa daaah mkuu, Mungu akutunze miaka mingi, nimeipendaaa Sana comment yako
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.