Kipindi ndo hotel inapigwa mnada na CRDB tulikua sehemu na jamaa zangu tukasema atakae nunua ile hotel atakuja kupata matatizo maana jamaa ilisemekana ni mafia jijini, sasa naona picha limeanza.
Mimi niliandika barua kueleza juu ya safari ya kwenda china kibiashara, nikaambatanisha TIN certificate pamoja na nyaraka zote zilizo hitajika.
Sikutoa hata senti moja sema changamoto niliyo kutana nayo ni birth certificate. Nilipo zaliwa nilipewa jina lingine ambalo lipo kwenye birth...
Awa si waarabu wa Nzega, Sangilwa, Shinyanga. Waarabu koko wanamatusi kinoma, kutukana kwao nijambo la kawaida. Mfano tajiri wa kiwanda cha jambo shinyanga, jamaa yule nae kwamitusi balaa.
Kufanya kazi na muhindi, mwarabu koko na mwarabu shombe shombe inahitajika uwe na roho maana wale jamaa...
Nilisha tapeliwa namimi hivi hivi pale Isibania mpakani mwa tanzania na kenye wakati tunaingia Kenya. Badaa ya kumaliza taratibu zote za checkup pale boder upande wa tanzania kisha upande wa kenya.
Kwavile ilikua jpili sikufanikiwa ku change pesa mwaza, nikasema nitabadirishia mpakani. Wakati...
Wilaya ya Ilemela mwanza watu walioomba toka mwezi wa pili hawajafungiwa umeme, sababu wanazo toa hakuna nguzo. Wewe kama maombi yako yatatakiwa nguzo inabidi usubirie foleni ya watu, mwezi huu wanafungiwa walioomba mwezi wa pili.
Kuna brother wangu kwenye ukoo akikupa story zake za miaka kumi iliyopita unaweza shangaa.
Anakwambia alikua akimaliza konyagi kubwa mbili. Kuna wakati akiwa na company yaukweli alikua anapiga konyagi kumbwa mbili na bia mbili tatu. Asubuhi anazimua na bia baada ya supu nzito.
Unajua sasahivi...
Mi nakumbuka mtaa mzima palikua
Mi nakumbuka mtaa mzima palikua kuna TV moja tu, tukienda kuangalia TV watoto wote tunakalishwa chini mbele ya TV. Miguu ikiwa michafu hauingii unafukuzwa.
Habari zeni wadau, nimekutana na changamoto katika kufanya malipo kwa kutumia huu mfumo wa tarura e-parking.
Jana nilikua na shughuli zangu pale TRA mwanza nikapaki gari kwanje, kabla nilikua na taarifa juu ya huu utaratibu mpya wa malipo kwakutumia huu mfumo mpya. Nilipotoka baada ya kama masaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.