ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Wazazi wote marehemu hapo inakuwaje?Kwanini wasikubali?
Vyeti vya wazazi kama huna unaenda kwa mwanasheria anamtengenezea mzazi affidavit
Wazazi wote marehemu hapo inakuwaje?Kwanini wasikubali?
Vyeti vya wazazi kama huna unaenda kwa mwanasheria anamtengenezea mzazi affidavit
BulungutuAisee...uliwaonesha tiketi ya ndege au?
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Ugoro, Bhange na Tungi Vimewaharibu Kabisa Vijana Siku Hizi
Uthibitisho wa vifoWazazi wote marehemu hapo inakuwaje?
Vipi kama wazazi wametangulia mbele ya haki?Gharama ni 150k ikiwa una cheti chakuzaliwa cha chako na mzazi mmoja.
Kama huna cheti cha kuzaliwa wewe na mzazi mmoja andaa 20k@ sawa na 40k plus 150k=190k
Hii tabia ya kuomba barua ya mwaliko imepitwa na wakati mno yaani ni ajabu sana...kwani tatizo ni nini?
Shida kubwa ni viza na Nauli kama ninavyo shida iko wapi?hii kitu inajenga hisia za ajabu sana,mbona nikitaka kwenda Iringa,Bukoba ,Nairobi.Bujumbura....huulizwi unafuata nini
Imeshawekwa hisia kuwa maisha ya ndani ni magumu na nje kuna maisha mazuri hivyo huenda wanahisi mtu atatorokea huko...lkn wanashindwa kutambua kuna nchi nyingi zinataka ticket yako tu hakuna haja ya viza mfano Malaysia, MTU unaweza kwenda kama mtalii wa kawaida.
Muone mwanasheria au mahakamani watakutengenezea viapo vya taarifa za wazaziVipi kama wazazi wametangulia mbele ya haki?
Imechukua wiki tatu hadi kupokea taarifa za kwenda kuchukua passport yangu. Ukiwa na taarifa zote naona usumbufu si mwingi sana. Ila kero yangu bado ni kwenye kuomba barua za safari. Kuna watu wanapanga kutumia passport Mwakani halafu nyie mnawaomba uthibitisho leo.
View attachment 1250522
Kama HUNA peleka VYA BABA NA MAMA.SIO LAZIMA VYA WAZAZI
2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Jamani mbona Mimi nilichemka kwenye barua ya uthibitisho wa safari au kinachonipeleka nje ni nini na uthibitisho wake, nikakwamia hapo, ilikua 2015.
Safari nyingine hazina uthibitisho. Waambie unaenda SA kutembea.
Mimi niliandika barua kueleza juu ya safari ya kwenda china kibiashara, nikaambatanisha TIN certificate pamoja na nyaraka zote zilizo hitajika.Jamani mbona Mimi nilichemka kwenye barua ya uthibitisho wa safari au kinachonipeleka nje ni nini na uthibitisho wake, nikakwamia hapo, ilikua 2015.
Twende vacay basi...Kumekuwa na unafuu kwa kweli sio kama zamani aisee yangu niliipata chap
Dar wewe ni wa Dar makete dar tuNi Vielelezo Gani Wanahitaji Na Gharama Ya Passport Ni Kiasi Gani Mpaka Unakamilisha ?
Twende vacay basi...