Mbasembase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,057
- 4,608
- Thread starter
- #41
Mjomba mimi si shabiiki wa huyo mtu na hiyo hali unayoipata mimi na wenzangu tulishaiona tangu 2008. Tuliambiwa ni austerity ila watu hawalii kama ninyi. Kwa jinsi mlivyokua na uchumi bandia lazima wakati wa mpito muuone mbaya hasa watu kama ninyi mliozoea kuchuma bila kupanda. Mlikua na matusi sana lakini JIWE limewawrza. Unasema ati propaganda unajua nchi kama za UK watu wanapanga foleni kwenye food bank ninyi mnakosa hela ya kunywa bia mnalia kama watoto walionyimwa jojo.Hizo unazoongea bado ni propaganda. Kumsifia jiwe ni kujitoa ufahamu tu ila ukweli unaujua!
Jikazeni matokeo mtakuja yaona msiwasikilize sana wanasiasa wapiga midomo kama kina MjamZitto Ruyangwa. Hao wapo hawatakosa maana ndiyo moja ya kazi yao kupiga zumari waeapate wavivu wa kufikiri kama baadhi yenu.