Jamani! Kweli vijana tunahitajika katika kushiriki maamuzi ya mustakabali wa nchi yetu, lakini sio mpaka tuwe marais, tunaweza tukashiriki kwa namna tofauti tofauti. Nafasi ya uraisi yataka Hekima sana ya hali ya juu kuliko hawa ndugu wanavodhani, hebu fikiria hawa jamaa Zito na mwenzake Makamba...