Benki hii sasa ni ya kikanda zaidi

MSIPI

Member
Jan 31, 2012
18
5
Habari wana JF, Ndugu zangu kuna benki moja nchini hapa kwa muda mrefu imekuwa ikionekana kwa viashiria kwamba ni benki ya kikanda. Hebu fikiria kwa muda mrefu mkutano mkuu wa wana hisa Annual General Meeting (AGM) imekuwa ikifanyika katika mji huo huo kila mwaka yaani pale Geneva of Afrika kana kwamba hakuna mikoa mingine ambayo ina kumbi nzuri zenye uwezo wa kuchukua idadi ya wanahisa wa benki hiyo.Katika utafiti wangu benki hiyo kwa sasa ajira zake ni za kiukanda ama kutokana na Mkurugenzi Mtendaji wake mkuu kwa kutokuliona hilo, hivi sasa ili upate ajira ukiwa unatokea ukanda huo wa kaskazini ni rahisi sana kupata ajira. Hivi majuzi benki hii sasa imekuja na huduma ya benki kupitia simu ya mkononi kwa kujidhihirisha kwamba na kutokutambua wamejikuta wamebuni matangazo ya ukanda huo tu, tangazo lao la kwanza katika huduma hiyo ni la kimasai na hili la pili ni la Kichaga, jamani hebu tuwaambie wenzetu wabadilike na wasijisahau sasa. Ifike wakati sasa mkutano wa wanahisa wa mwaka AGM ufanyike katika mkoa mwingine sasa mbali na Arusha, matangazo ya kibiashara yatoke pia kwa kufikiri kwamba kuna wigo mpana wa Watanzania wanaopata na kutegemea huduma kutoka katika benki hii, ajira ziwe na usawa kwa watanzania wote.

Ahsante ni mimi mdau mpenda maendeleo.
 
Kama umeweza kutaja hayo yote, umshindwa nini kuitaja. Kama ni CRDB, NMB au NBC ya Makuburu wewe sema tu!!


Babu DC!!
 
Habari wana JF, Ndugu zangu kuna benki moja nchini hapa kwa muda mrefu imekuwa ikionekana kwa viashiria kwamba ni benki ya kikanda. Hebu fikiria kwa muda mrefu mkutano mkuu wa wana hisa Annual General Meeting (AGM) imekuwa ikifanyika katika mji huo huo kila mwaka yaani pale Geneva of Afrika kana kwamba hakuna mikoa mingine ambayo ina kumbi nzuri zenye uwezo wa kuchukua idadi ya wanahisa wa benki hiyo.Katika utafiti wangu benki hiyo kwa sasa ajira zake ni za kiukanda ama kutokana na Mkurugenzi Mtendaji wake mkuu kwa kutokuliona hilo, hivi sasa ili upate ajira ukiwa unatokea ukanda huo wa kaskazini ni rahisi sana kupata ajira. Hivi majuzi benki hii sasa imekuja na huduma ya benki kupitia simu ya mkononi kwa kujidhihirisha kwamba na kutokutambua wamejikuta wamebuni matangazo ya ukanda huo tu, tangazo lao la kwanza katika huduma hiyo ni la kimasai na hili la pili ni la Kichaga, jamani hebu tuwaambie wenzetu wabadilike na wasijisahau sasa. Ifike wakati sasa mkutano wa wanahisa wa mwaka AGM ufanyike katika mkoa mwingine sasa mbali na Arusha, matangazo ya kibiashara yatoke pia kwa kufikiri kwamba kuna wigo mpana wa Watanzania wanaopata na kutegemea huduma kutoka katika benki hii, ajira ziwe na usawa kwa watanzania wote.

Ahsante ni mimi mdau mpenda maendeleo.

Hivi unajua namna AGM (kama chombo ndani ya shirika/kampuni) kilivyo na nguvu? kama unahisi madai yako yanaukweli kwa nini usiyafikishe kwenye mkutano huo ili wanahisa wachukue hata muafaka!
Na kama wewe si mwanahisa unaweza ukatafuta aliye mwanahisa akalifikisha hilo, au hapa JF ndio moja ya hatua ulizoanza kuchukua?
Kimsingi suala la kupendelea kufanya mikutano Arusha mara kwa mara (si kwa hiyo benk tu unayoisema bali hata serikali) halina afya kwa ustawi wa watanzania wengi kwa mapana yake, kwan tulitegemea hii mikutano ingeweza kugeuzwa conference tourism na kupandisha chati za sehemu nyingine kama Mbeya, Iringa.. lakin tatizo la mikoa mingi nayo haina kumbi zinazokidhi haja kama Arusha.

Na hili la kupendelea watu wa kaskazini, sitalisemea lakin ungefanya utafiti kabla ya kufikia hitimisho ungegundua kuwa si kweli. Kwa mfano ukienda UDBS, hasa course ya BCOM kuna asilimia ngapi ya wanafunzi wenye asili ya kaskazini? Sidhani kama watu wanaajiriwa kwa kuangalia makabila yao bali elimu zao
 
Habari wana JF, Ndugu zangu kuna benki moja nchini hapa kwa muda mrefu imekuwa ikionekana kwa viashiria kwamba ni benki ya kikanda. Hebu fikiria kwa muda mrefu mkutano mkuu wa wana hisa Annual General Meeting (AGM) imekuwa ikifanyika katika mji huo huo kila mwaka yaani pale Geneva of Afrika kana kwamba hakuna mikoa mingine ambayo ina kumbi nzuri zenye uwezo wa kuchukua idadi ya wanahisa wa benki hiyo.Katika utafiti wangu benki hiyo kwa sasa ajira zake ni za kiukanda ama kutokana na Mkurugenzi Mtendaji wake mkuu kwa kutokuliona hilo, hivi sasa ili upate ajira ukiwa unatokea ukanda huo wa kaskazini ni rahisi sana kupata ajira. Hivi majuzi benki hii sasa imekuja na huduma ya benki kupitia simu ya mkononi kwa kujidhihirisha kwamba na kutokutambua wamejikuta wamebuni matangazo ya ukanda huo tu, tangazo lao la kwanza katika huduma hiyo ni la kimasai na hili la pili ni la Kichaga, jamani hebu tuwaambie wenzetu wabadilike na wasijisahau sasa. Ifike wakati sasa mkutano wa wanahisa wa mwaka AGM ufanyike katika mkoa mwingine sasa mbali na Arusha, matangazo ya kibiashara yatoke pia kwa kufikiri kwamba kuna wigo mpana wa Watanzania wanaopata na kutegemea huduma kutoka katika benki hii, ajira ziwe na usawa kwa watanzania wote.

Ahsante ni mimi mdau mpenda maendeleo.

Nadhani hoja yako sio makini........hapa ni wazi unaiongelea CRDB......inabidi uelewe kuwa shares zao ziliuzwa kwa IPO na watu wote walikuwa huru kununua bila kuulizwa ukanda..........inawezekana kabisa watu wa kaskazini kutokana na mwamko na uhamasishaji walinunua hisa nyingi zaidi..... .sasa kama wanahisa wengi wanatoka kaskazini basi AGM ipelekwe Mtwara kwa manufaa gani?
 
Hii benki nyie mlionunua hisa zake karibuni mtalia kwani your management is very poor na ndio maana shares zenu kwenye DSE hazina bei; mnashindwa na hata Dar es salaam Community Bank!! Amkeni hao jamaa wanawaibia fedha zenu na kujenga majumba tu!!
 
Hiyo bank kama unatokea umangini lazima upate job,otherwise utaishia kutuma Cv mpaka uchoke,they have to change,wawe equal opportunity!wanaboa kwakweli na ukabila wao!!kimei wake up please
 
Hiyo bank kama unatokea umangini lazima upate job,otherwise utaishia kutuma Cv mpaka uchoke,they have to change,wawe equal opportunity!wanaboa kwakweli na ukabila wao!!kimei wake up please


Kimsingi KIMEI hahitaji kuamka, anahitaji kuondoka. Uchumi wa SOKO huria umemshinda hususani hili soko la hisa
 
CRDB kama sio mchaga kupata kazi ni ngumu sana! Hata ma HR wengi pale ni wachaga.
 
Habari wana JF, Ndugu zangu kuna benki moja nchini hapa kwa muda mrefu imekuwa ikionekana kwa viashiria kwamba ni benki ya kikanda. Hebu fikiria kwa muda mrefu mkutano mkuu wa wana hisa Annual General Meeting (AGM) imekuwa ikifanyika katika mji huo huo kila mwaka yaani pale Geneva of Afrika kana kwamba hakuna mikoa mingine ambayo ina kumbi nzuri zenye uwezo wa kuchukua idadi ya wanahisa wa benki hiyo.Katika utafiti wangu benki hiyo kwa sasa ajira zake ni za kiukanda ama kutokana na Mkurugenzi Mtendaji wake mkuu kwa kutokuliona hilo, hivi sasa ili upate ajira ukiwa unatokea ukanda huo wa kaskazini ni rahisi sana kupata ajira. Hivi majuzi benki hii sasa imekuja na huduma ya benki kupitia simu ya mkononi kwa kujidhihirisha kwamba na kutokutambua wamejikuta wamebuni matangazo ya ukanda huo tu, tangazo lao la kwanza katika huduma hiyo ni la kimasai na hili la pili ni la Kichaga, jamani hebu tuwaambie wenzetu wabadilike na wasijisahau sasa. Ifike wakati sasa mkutano wa wanahisa wa mwaka AGM ufanyike katika mkoa mwingine sasa mbali na Arusha, matangazo ya kibiashara yatoke pia kwa kufikiri kwamba kuna wigo mpana wa Watanzania wanaopata na kutegemea huduma kutoka katika benki hii, ajira ziwe na usawa kwa watanzania wote.

Ahsante ni mimi mdau mpenda maendeleo.

Hata ukienda vyuoni na mashuleni wengi ni watu wa kaskazini,hilo halina ubishi....So ulitegemea kwenye soko la ajira uwiano uwe vip,kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa.Na ukumbuke watu wa kaskazini wametapakaa TZ nzima kwa wingi tena wakiwa na elimu ya kutosha,so kunapokuja suala la kuitwa kwenye interview huw wanajitokeza tofauti na makabila mengine ambayo unaweza kuwakosa kabisa,that is probability opportunity inakuw kubwa kwao kweny kuchaguliwa.TUSILALAMIKE SANA WAKAT WATOTO WETU HATUWAPI ELIMU NZURI NA YA KUTOSHA.NIMEKUPA MFANO MDOGO KAANGALIE VYUONI HASA VYUO VIKUU,ANGALIA UWIANO WA WANAFUNZI WANAOTOKA KASKAZINI NA KANDA NYINGINE...UNATEGEMEA NA KWENYE SOKO LA AJIRA HAO WATU WASITAFUTE AJIRA KWA AJILI WAMETOKA KASK.NENDA KWENY SHULE ZA SEC KULE HATA KAMA NI ZA KATA UTAONA UTOFAUTI MKUBWA NA SEHEM NYINGINE,ni nyingi na zenye uafadhali mkubwa wa ubora.KUNA MAMBO MENGI AMBAYO WATU TUNATAKIW KUELEWA NA SI KULALAMIKA TU.Nimeishi sana Mbeya,Moro,Dom,Songea ila kwenye suala la elim kwenye mikoa hiyo ni tofauti sana na KLM na Arusha sijui kw mikoa mingine....Ingekuwa jamaa wa sensa wanatoa kiwango cha elimu kwa watu wenye asili ya kule hata usingelalamika san kuhusu ajira zao.
Kwa hilo pia watz tungelalamika basi mbona wahindi walio wengi hap kwetu tz ni matajiri,chunguza sourse kwanza then ufunguke sio unaongea tu bila kujua sourse ya mambo.
Tusomeshe vijana wetu na tujenge shule zenye ubora kwa watoto wetu kwa maendeleo yao ya baadae
 
hata wanaopewa mikopo mikubwa kuanzia 1bn ni wachaga tuu!

Ok mi natoka kule so nikitaka mil10 ntapata hata kama sina vigezo,mbona hujaongelea suala la kigezo,wewe una uwezo wa mil 10 nani akupe mil 100.nani ambaye unamjua hana vigezo vya kupata hiyo hela then kaipata kwa ajaili ni wa kask.

If you don have a data,no right to speak....

Suala la ukaskizini linakuzw tu na si kwa kiwango kinachosemwa,watu wanjitahidi kwa maarifa yao mnasema upendeleo,mbona mikoa mingine tunaifaham ilivyo,kwa hiyo either makampuni wachukue watu ambao hata vigezo hawana kwa ajili tu ya ku-balance tribalism,si sahihi....

Hata walioko nje ya nchi wanaofanya kazi huko S.Africa,Ulaya,Marekani na kwingineko napo wamependelewa kwa sababu wametoka kask.mwa Tz mana hata walioko nje ya nchi wanaofanya kazi na wasiofanya kazi wengi ni kutoka Kask.Mkiambiwa msomeshe ndg zenu walioko mikoani inakuwa vigum ila kulalamika tunaweza, neda kask uone watu wanavyosaidiana kwenye kutoka na kusomeshana.Ila kunasehem nyngne hasa kusini baadhi ya maeneo niliokwishafika, mbaya wako kwenye maendeleo ni ndugu yako tena wa damu,so kihivyo kule haipo hivyo,mila na taratibu za kule zimetujenga vyema....
Leta jingine
 
yap jamaa naona kashindwa sema ni CRDB bana

Ukiacha hizi bank zinazotoka nje kama Baclays.standard charter nk,ni bank gani nyingine za hapa nchini zinazoifikia bank ya CRDB kwa huduma nzuri,ubora na efficiency.

Hongera Kimei na anaweza ameitoa bank ile mbali na huduma nyingi ni nzuri na nyingine hazipatikani kweny bank nyingne zozote za hapa nchini sio za za kutoka nje maana hizo huduma zake sizifaham
 
Back
Top Bottom