kushindwa kuvaa haiba ya rais.
blunders ziko kibao kuliko mafanikio yaani kikubwa alichofanikiwa yeye ni ongezeko la blunders kadili siku zinavyozidi kwenda mbele maana tukiziweka hadharani haziishi
kushindwa kuvaa haiba ya rais.
Kama hakuna kesi ya kujibu JK anahusikaje? walaumu waendesha mashtaka, na mahakimu na mahakama...do you believe on rule of law??
Swali zuri sana, nnakuhakikishia, hakuna ataekuja na jibu la maana, utaona porojo tu za hali ya juu.
Ni vema zaidi mkuu kama ungezitaji baadhi ya hizo blunders. Kumbuka hili ni jukwaa mkuu.blunders ziko kibao kuliko mafanikio yaani kikubwa alichofanikiwa yeye ni ongezeko la blunders kadili siku zinavyozidi kwenda mbele maana tukiziweka hadharani haziishi