Ni lipi gari maalumu kwa serikali ya Tanzania

MSIPI

Member
Jan 31, 2012
18
5
Ndugu, wadau nimekuwa nikiitizama Nchi yetu kwa muda mrefu na kuutafakari uelekeo wetu na kushindwa hata kuamua kwa vitu vidogo kabisa. Hebu fikiria hadi leo hii, Tanzania na ikiwa ni hivi majuzi tu, tumetoka kusheherekea nusu karne ya kuutumikia uhuru wetu, lakini bado tumeshindwa hata mambo madogo kabisa. Mathalani wadau hadi leo hii ni lipi hasa gari linalotumika hasa na serikali yetu, yaani ukipita barabarani basi uwe na urahisi wa kutambua kwamba hili ni gari la serikali na hili ni aina ya gari la mtu binafsi.

Hata sasa tembea huko mitaani utaona Hyundai, Toyota Landcruiser ya aina yeyote,Corolla, Landlover,Mitsubishi, Rav 4 na nyingine za aina mbalimbali zikiwa zote zinatumika na serikali yetu. Tunashindwa kweli kuwa na sera au muongozo wa kusema kwamba magari ya serikali ni haya! Hayumkini katika kipindi kifupi kijacho sasa serikali yetu itatumia Hammer na Vogue. Waziri Mh. Dk John Pembe Magufuli waziri mwenye dhamana uko wapi.

Wadau tuijadili hiyo, mwenye majibu please!
 
magari ya serikali utayatambua kwa plate number zake..zimeandikwa STK,STH,STJ, etc..SM,SU,etc etc etc
 
Ndugu, wadau nimekuwa nikiitizama Nchi yetu kwa muda mrefu na kuutafakari uelekeo wetu na kushindwa hata kuamua kwa vitu vidogo kabisa. Hebu fikiria hadi leo hii, Tanzania na ikiwa ni hivi majuzi tu, tumetoka kusheherekea nusu karne ya kuutumikia uhuru wetu, lakini bado tumeshindwa hata mambo madogo kabisa. Mathalani wadau hadi leo hii ni lipi hasa gari linalotumika hasa na serikali yetu, yaani ukipita barabarani basi uwe na urahisi wa kutambua kwamba hili ni gari la serikali na hili ni aina ya gari la mtu binafsi. Hata sasa tembea huko mitaani utaona Hyundai, Toyota Landcruiser ya aina yeyote,Corolla, Landlover,Mitsubishi, Rav 4 na nyingine za aina mbalimbali zikiwa zote zinatumika na serikali yetu. Tunashindwa kweli kuwa na sera au muongozo wa kusema kwamba magari ya serikali ni haya! Hayumkini katika kipindi kifupi kijacho sasa serikali yetu itatumia Hammer na Vogue. Waziri Mh. Dk John Pembe Magufuli waziri mwenye dhamana uko wapi.

Wadau tuijadili hiyo, mwenye majibu please!

Kwa nini unataka kuwe na gari maalumu. Itasaidia nini kwa mfano serikali ikitumia gari aina fulani pekee. Nafikiri wakati mwingine mnapenda kuilaumu serikali hata kwa vitu ambavyo havina maana. Katika hizi zama za utandawazi, biashara huria, na ushindani unaweza kweli ukachagua gari aina moja au mbili zitumike na entire Govt? Ukumbuke kuwa pia taasisi na Idara tofauti za Serikali zina mahitaji tofauti ya magari kulingana na mazingira na kazi zao. Ndugu yangu kajipange, hoja yako haina mshiko.
 
Kwa nini unataka kuwe na gari maalumu. Itasaidia nini kwa mfano serikali ikitumia gari aina fulani pekee. Nafikiri wakati mwingine mnapenda kuilaumu serikali hata kwa vitu ambavyo havina maana. Katika hizi zama za utandawazi, biashara huria, na ushindani unaweza kweli ukachagua gari aina moja au mbili zitumike na entire Govt? Ukumbuke kuwa pia taasisi na Idara tofauti za Serikali zina mahitaji tofauti ya magari kulingana na mazingira na kazi zao. Ndugu yangu kajipange, hoja yako haina mshiko.

Utandawazi mkuu ndio unatumaliza ikiwa ni pamoja na sheria za manunuzi za kitandawazi!
 
Ndugu, wadau nimekuwa nikiitizama Nchi yetu kwa muda mrefu na kuutafakari uelekeo wetu na kushindwa hata kuamua kwa vitu vidogo kabisa. Hebu fikiria hadi leo hii, Tanzania na ikiwa ni hivi majuzi tu, tumetoka kusheherekea nusu karne ya kuutumikia uhuru wetu, lakini bado tumeshindwa hata mambo madogo kabisa. Mathalani wadau hadi leo hii ni lipi hasa gari linalotumika hasa na serikali yetu, yaani ukipita barabarani basi uwe na urahisi wa kutambua kwamba hili ni gari la serikali na hili ni aina ya gari la mtu binafsi. Hata sasa tembea huko mitaani utaona Hyundai, Toyota Landcruiser ya aina yeyote,Corolla, Landlover,Mitsubishi, Rav 4 na nyingine za aina mbalimbali zikiwa zote zinatumika na serikali yetu. Tunashindwa kweli kuwa na sera au muongozo wa kusema kwamba magari ya serikali ni haya! Hayumkini katika kipindi kifupi kijacho sasa serikali yetu itatumia Hammer na Vogue. Waziri Mh. Dk John Pembe Magufuli waziri mwenye dhamana uko wapi.

Wadau tuijadili hiyo, mwenye majibu please!

mhh! Kwan nchi nyingine zina gar maalum za serikali? Njia ya kulitambua gar la serikali ni kwa kuangalia namba
 
Kwa nini unataka kuwe na gari maalumu. Itasaidia nini kwa mfano serikali ikitumia gari aina fulani pekee. Nafikiri wakati mwingine mnapenda kuilaumu serikali hata kwa vitu ambavyo havina maana. Katika hizi zama za utandawazi, biashara huria, na ushindani unaweza kweli ukachagua gari aina moja au mbili zitumike na entire Govt? Ukumbuke kuwa pia taasisi na Idara tofauti za Serikali zina mahitaji tofauti ya magari kulingana na mazingira na kazi zao. Ndugu yangu kajipange, hoja yako haina mshiko.

Mkuu kumbuka kuwa serekali inapokuwa na gari za aina moja hata matunzo yake ni rahisi.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Kwa nini unataka kuwe na gari maalumu. Itasaidia nini kwa mfano serikali ikitumia gari aina fulani pekee. Nafikiri wakati mwingine mnapenda kuilaumu serikali hata kwa vitu ambavyo havina maana. Katika hizi zama za utandawazi, biashara huria, na ushindani unaweza kweli ukachagua gari aina moja au mbili zitumike na entire Govt? Ukumbuke kuwa pia taasisi na Idara tofauti za Serikali zina mahitaji tofauti ya magari kulingana na mazingira na kazi zao. Ndugu yangu kajipange, hoja yako haina mshiko.

Mtoa hoja alitaka serikali iwe na specific types of vehicles kulingana na mazingira ya kazi, mahala pa kazi, cheo cha mtu na umuhimu wake. Tuna weza kuamua rais atumie benz na landcruiser v8. Mwaziri wote landcriser tu, wabunge na wakuu wa mikoa na wilaya wapewe landlover mpya TDI kwa urahisi wa kukagua maendeleo. Na watumishi wengine wapewe magari kulingana na mazingira ya kazi na umuhimu wa mtumishi na cheo chake ilimradi tubane matumizi ya serikali.
 
Mimi huwa sioni kama ni maamuzi ya busara wakubwa wa serikali kutumia magari makubwa kama V8 katika jiji kama Dsm! Zinunuliwe gari ndogo kwa matumizi ya mijini.
 
Mimi huwa sioni kama ni maamuzi ya busara wakubwa wa serikali kutumia magari makubwa kama V8 katika jiji kama Dsm! Zinunuliwe gari ndogo kwa matumizi ya mijini.
Yaani wewe unataka waheshimiwa sana watembelee bettle? hapana bana, mbona majiji makubwa kama New York kuna macardilac, ma Hammer, GMC, N:K?
 
Na yale yanayotolewa kama msaada je? Au wahisani wapewe condition ya magari watakayotoa! Mbona familia moja baba ana BMW, mama ana Harrier na mtoto ana CRV?
 
Yaani wewe unataka waheshimiwa sana watembelee bettle? hapana bana, mbona majiji makubwa kama New York kuna macardilac, ma Hammer, GMC, N:K?

Umeishasema majiji makubwa kwa hiyo si Tanzania,halafu ebu nitajie kiongozi mmoja uliyewahi kumuona katika msafara wake akitokea katika hizo HUMMER,GMC,CARDILAC?
 
Tatizo liko hapa..magari mengi ni ya msaada na mikopo kutoka nchi mbali mbali..kama unavyojua tena, Japan wakitupa msaada wa magari watatoa TOYOTA, uingereza watatoa LANDROVER, FORD, etc, India wanatupa MAHINDRA au TATA..
kifupi taifa legelege lenye viongozi legelege halipati fursa ya kuchagua moja!
 
Back
Top Bottom