Recent content by msimamowetu

  1. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Sitting allowance ya Wabunge ifutwe au isifutwe?

    Zipunguzwe
  2. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Maskini Tanzania!

    Hasa masukuma hovyoooo kama nyumbu kule Serengeti
  3. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    Wasaliti na wanakula fedha za walipa kodi kwa maslai yao binafsi tuna waweka kwenye kumbux2 ya nchi, one day watazilipa tu!
  4. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio makamanda watiifu walioaminiwa kulinda kura

    CCM mmeambiwa mkalale, unalalamika nini?
  5. msimamowetu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke kawa mtaalam kitandani ghafla, ina maana gani?

    Kaishafanyiwa training pamoja na assessment out ndio maana ghafla kaiva, enjoy broo acha maswali mengi utamkimbia!
  6. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Hakika Magufuli ni Chaguo la Mwenyezi Mungu

    Wajinga na mambumbu wasiojitambua na wenye maslai binafsi na CCM ndio mtaji wao
  7. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Siri za Magufuli kuwa Rais zavuja

    Mleta uzi hii ndio siri eeh, sidhani kama una akili timamu, unakurupuka huko na viroba na bangi zango unatuambia tope ndio siri, kaa kimya jpili sio mbali, mwenye kaya kaisha anza tapatapa we ndio nani huna lolote mtumia Jk huu uzi anaweza pata faraja kwa jinsi anavyoweweseka, oh wapiga kura...
  8. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Kwa mgawanyo huu wa wapiga kura, Lowassa kumshinda Magufuli ni ngumu

    Magnify, umena mkuu, mwenye nchi kachemka huyu anakuja na ramli zake za kitaa, kavunja sheria kwa kuwa anna tambua ngoma nzito
  9. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania CCM sasa basi

    Ellison asiesikia, asielewa wala kutafakari post yako basi anamaslai maana binafsi ndoo maana aendelee kuisujudia CCM
  10. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Sababu za CCM kushinda kwa kishindo hizi hapa

    Janos, nimecheka sn mkuu Kwamba hao ndio wasomi wa fisiem waliokuwa wamefeli halafu wakapunguziwa alama Watu kama hawa hawawezi kuongoza taifa, wapishe
  11. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lowassa kumficha vibaya Magufuli Tanga, Watu JF kimyaa!

    Wasubiri awamu ya pili ya mungu kuumba dunia labda wabahatishe bahati yao tena ila kwa sasa nawapa pole
  12. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

    Marehemu mtarajiwa bado kuzikwa tu
  13. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania TIMU Magufuli tukutane hapa

    Nina imani na Magufuli ila sina Imani na timu yote ya CCM na mfumo wake, tatizo sn
  14. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Lowassa utusamehe sisi wana CCM, ni kosa lipi lisilohitaji msamaha?

    Hakuna cha bao la mkono wala kiwiko, na swala la kujipanga 2020 sahauni, kwani tunaenda kuizika CCM mliyoshindwa kuyatimiza kwa zaidi ya miaka 50, ukawa utayafanya kwa miaka 10 tu, nani awarudishe mfu akishakufa ukimwona mkimbie sio mwenzako magamba hayo.
  15. msimamowetu

    JamiiForums Tanzania Gari la mgombea Ubunge wa CHADEMA Esther Matiko, lavamiwa, laharibiwa vibaya

    Hakuna kada yoyote anaenga'nga'nia madaraka kwa maslai ya taifa isee, hao wote wanawaza matumbo yao na a dhabi zitakazowakabili kwa ufirauni waliowafanyia waTz kwa mda mferu, hakunq kuachia na seam hakuna mpaka kieleweke
Back
Top Bottom