ukiona chama kinaanzishwa penye mgogoro ujue hao ndiyo waanzilishi wa mgogoro. nafikiri ACT imeanzishwa wakati mbovu sana. ndiyo maana ila,kupata wanachama wanalazimika kutumia sera ya ccm ya kuua vyama vingine ili wapate abiria. km wangekuwa na nia njema kwa nchi hii wangetafta chama chochote...
yaani mmekaririshwa na nape kila kitu mseme mnachokisema. ruzuku wanaopewa hela nyingi ni ccm nambie japo barabara ya changarawe uliyowahi sikia ccm wamejenga kwa ruzuku, nitajie kisima hata kimoja au darasa japo moja lililojengwa na nccr mageuzi kwa ruzuku, nitajie japo dawati moja...
bora post yako ungeandika hivi ni nini kazi ya ruzuku kwa vyama vya siasa ili ufundishwe kuliko kukurupuka tuu. unaonesha ulivyo miongoni mwa wapuuzi wanaolaumu bila hata kujua wanalaumu nini. anza upya mkono wa paka.
wameshaanza kupokea maombi kama kule ilonga morogoro, tengeru arusha, kuna mwanza, uyole mbeya, ingia mtandao wa wizara ya kilimo na chakula utapata maelekezo.
Natangaza nia kugombea ubunge jimbo la mufindi kusini 2015,
Namalizia Masomo yangu ya shahada ya udaktari mwaka huu.
kwa sasa ni waziri wa sheria, katiba na bunge chuoni kwangu.
background yangu ya uongozi
Primary kiranja wa Michezo tangu la pili hadi la saba
olevel katibu wa...
uingereza imeweza kutengeneza ajira za
kutosha kwa vijana kupitia michezo kama
ifuatavyo
wana jumla ya ligi 16 rasmi zenye timu zaidi
ya 368
zikisajili zaidi ya wachezaji 10000, kumbuka
hapa viongozi wa vilabu hawajahesabiwa,
benchi la ufundi nalo bado na mengineyo
mengi tuu. na hapo...
acheni uwongo jamani.
chadema wameshinda kata sita hadi sasa.
kiteto kata mbili zote zilikuwa za CCM
arusha na moshi jumla kata 2
njombe na kasanga 2
so wameongeza kata nne hadi hapo.
tusubiri kwingine
kwa mujibu wa dereva charles anasema wahusika walikodiwa toka tarime. nimeongea naye kwa mdomo wangu. swali je alijuaje wametoka tarime? alafu hii tabia ya waandishi kukuza habari ndiyo itakayotufarakanisha watanzania. wanasema huyu dereva kashonwa nyuzi kumi na mbili. ni uongo mtupu...
huwa naipenda sana kauli ya mchungaji msigwa
ukiwa na ugonjwa wa malnutrion utotoni tegemea kudumaa kwa akili ukubwani. viongozi wengi wamedumaa akili, mfano kigwangala alikiri kuugua malnutrion akiwa mdogo. watu wa namna hii kwa tanzania ni takribani 20milion kwa hiyo hata kucoment hapa utaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.