babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Anayeshauriwa siwa muungano.
Kwa hyo anachukua nafasi ya Rais wa Tanganyika
Anayeshauriwa siwa muungano.
Badala ya kujibu hoja ya Mkosamali kuhusu kazi maalum ya mh. Mwandosya yeye amemjibu Mkosamali kuwa amekufuru. Na kaongezea msemo kuwa hujafa hujaumbika. Je, hili ndo jibu alilopaswa kujibiwa na waziri huyu? Je kuuliza swali ni kukufuru?
Habari wana jf, kutoka bungeni jioni hii.
Mh. Mkosamali amehoji juu ya kazi gani maalumu aliyonayo "waziri wa nchi,ofisi ya raisi kazi maalumu" profesa mark mwandosya.
Profesa alipopata nafasi ya kuchangia hoja alianza kwa kujibu hoja ya mkosamali kwa kusema "kazi niliyonayo ni maalumu".
Mkosamali alihoji suala hilo kwa kua haoni ulazima wa kua na wizara hiyo kwa kua pesa inayotumika kuendesha wizara ni nyingi na akashauri ifike wakati serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima.
Mwana jf, wewe unadhani hiyo kazi maalum ya mh.mwandosya ni ipi ambayo haiwezi kutekelezwa na wizara nyingine ama taasisi nyingine za serikali?
Nani kakwambia special envoy maana ni kazi maalumu..bila maelezo kama ya mwandisya..ww ndo unaleta ujuaji usiokuwa na mpangoSio Kweli Kazi Maalum zinaweza Kuwaiti ht USA wapo mfano SPECIAL ENVOYS na ht UN wapo Ninyi Hamjui Anachofanya URAIS NI TAASISI Hivyo Rais Hawezi Fanya Kazi Zote lazima awe na MTU wa Kumsaidia Wakati mwingine Tusikosoe tu ILI tuonekane Tumesema au Wajuaji Saana TAIFA LA MANUNG'UNIKO
Kwa hyo anachukua nafasi ya Rais wa Tanganyika
Na hapa tunaona huyu mama alivojitoa ufahamuUkiwa ccm kujitoa faham ni lazima
special envoy ni mawaziri?Sio Kweli Kazi Maalum zinaweza Kuwaiti ht USA wapo mfano SPECIAL ENVOYS na ht UN wapo Ninyi Hamjui Anachofanya URAIS NI TAASISI Hivyo Rais Hawezi Fanya Kazi Zote lazima awe na MTU wa Kumsaidia Wakati mwingine Tusikosoe tu ILI tuonekane Tumesema au Wajuaji Saana TAIFA LA MANUNG'UNIKO