Taaluma ikiwa kubwa na pana si ndiyo inahitaji uthibiti mkuu? au unataka iendelee kuwa holela? Unafurahi kuona wachekeshaji nao wanafanya kazi za habari bila kujua misingi na maadili yale?
Mkuu hoja yako imetawaliwa na ukanda (Geita,Mwanza,Kagera) kwa kigezo cha umbali...nakuuliza je kazi nazo tuwaletee huko huko au watazifuata nje ya hiyo kanda?
Waache watoto watoke nje ya mikoa yao wapate exposure.
Siyo jambo la kupendeza sana mtoto awe anahama mitaa tu anaanza Primary...
Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini.
Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati...
Ukipenda shortcut lazima utapeliwe.Mimi tangu nitapeliwe pale DDC Kariakoo mwaka 1998 sijatapeliwa tena hadi leo😀
Ukiniambia sijui Almas nakuelekeza pa kwenda kuziuza.Nimemaliza
Mambo yamebadilika enzi za Mtukufu (the late CEO) haya yote alikuwa anafanya mwenyewe. Mawaziri walibaki kupiga makofi tu au kuzindua installation za tranforma tu😁
Kwani kipi kilianza;majimbo au maendeleo? N unaposema issue ya Ukabila inakujaje? Kwani tukisema Mwanza,Geita,Shinyanga liwe jimbo moja ndio itachochea ukabila? Kwani watu wa makabila mengine hawatoruhusiwa kufanya kazi?Kazi zitatolewa kwa kigezo cha ukabila? Shule zitafundishwa kwa kisukuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.