Nchi ngumu sana hii, watu wanasoma kwa shida, ajira mtaani hakuna, na hata ikitokea nafasi ndogo at least ya vijana kujikwamua serikali ndio inakua kikwazo cha kwanza.
Nadhani kuna wakati baadhi nyimbo nzuri zinatolewa na wasanii na nikalii sana kuzisikiliza lakini hazipati nafasi ya kupenya kwenye media kivile.
Ebu tushirikishane izo nyimbo hapa chini
1. Kamanda by Bi Aisha
2. Jipe by Nadia ft Marioo
3. Nilipize by Ibranation
4..........
Sent from my Pixel...
Labda anataka kunijaribu Kama kweli nipo sensitive na negative emotional [emoji3] na kupitia ushauri wako nimesha mpuuzia. So njia yako inawork out naona[emoji106][emoji106]
Habarini wakuu...
Nimekua niki experience hii kitu yakua very sensitive emotional. Yaani ni rahisi mnoo kuwa captured kihisia na kitu fulani. Sasa shida inakuja pale kitu kinapokuja in a negative inanichukua muda mrefu kukiondoa kichwani. Nitaweka mfano wa visa ambavyo nimewahi kuvi experience...
Kwa mtazamo wangu, Ikiwezekana mkeo ampigie simu wifi yake kwa upole kabisa na busara kwamba kwa bahati mbaya ile sms aliyokua anatuma sehemu nyingine imekuja kwake na amuombe tu anachofanya sio kizuri Kama mwanamke mwenzake, angeweza kumwambia mumewe lakini hajapenda kufanya hivyo akiamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.