Recent content by Mshati940

  1. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Kati ya Manispaa ya Kahama na Manispaa ya Mpanda na Nzega TC wapi pazuri kuishi kutafuta maisha?

    Kipindi gani kinakua cha mavuno ambapo mazao yanakua bei nzuri uko?
  2. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo ya biashara kwa Mtaji wa Milioni 5 Mjini Bariadi mkoa wa simiyu

    Kama kichwa cha hapo juu kinajieleza kwa walio bahatika kutembelea mji wa bariadi naomba msaada wa mawazo wa fursa za kibiashara walizoziona ambazo mtu mwenye mtaji at least wa Milioni 5 anaweza kufanya na maisha yakaenda vizuri. Natanguliza shukrani
  3. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Usifanyie lamination hati yako ya umiliki wa ardhi. Tuhifadhi vipi hati zetu za umiliki wa ardhi zisichakae?

    Ni kwa sababu miamala (transaction) zote zitakazo fanyika baada ya hati kuandaliwa uwa zinasajiliwa kwenye ile ile hati mama uliyopewa kwa kugongwa mihuri husika na saini kwahiyo ukifanya lamination itashindikana ikitokea kuna transaction unataka kufanya.
  4. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Waafrika wasipoondoa mfumo wa kuwakilishwa na Wabunge kamwe wasahau maendeleo

    Nadhani pia ndio maana maandamano ya kenya yanafanikiwa kwasababu hayana mlengo wa kisiasa. Uku kwetu wanasiasa wale wale leo wako chama iki kesho wako kule alafu ndio wanakushawishi eti uandamane wakati ukifuatilia wote ni kizazi kile kile. Mtwara wamewahi kuleta vurugu wakati wa gesi na kweli...
  5. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi haitaki kuwalipa wataalamu wake?

    Nchi ngumu sana hii, watu wanasoma kwa shida, ajira mtaani hakuna, na hata ikitokea nafasi ndogo at least ya vijana kujikwamua serikali ndio inakua kikwazo cha kwanza.
  6. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Ushauri nifanye biashara gani kwa mtaji wa Milioni 3?

    Ingependeza ukafunguka kidogo
  7. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Ulipata chimbo za izo short unipe connection yake
  8. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Tupia wimbo ambao umeusikia mahala na ni mkalii ila kwa bahati mbaya haujapata nafasi ya kusikika sana

    Nadhani kuna wakati baadhi nyimbo nzuri zinatolewa na wasanii na nikalii sana kuzisikiliza lakini hazipati nafasi ya kupenya kwenye media kivile. Ebu tushirikishane izo nyimbo hapa chini 1. Kamanda by Bi Aisha 2. Jipe by Nadia ft Marioo 3. Nilipize by Ibranation 4.......... Sent from my Pixel...
  9. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Start to change now if you want be who you want to be

    Kama ungekua na busara ya kusaidia hao vijana unao waona wanaangaika kutaka kuajiriwa, ingekua vyema kushare mawazo au kuwashika mkono kuwaonyesha unacho fanya jinsi kinavyoweza kumsaidia nae ataaenda kumshika mwenzake hivyo hivyo. Ila izi porojo zakusema vijana wanataka kuajiriwa wakati kuna...
  10. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Nini kilikusaidia kupata kazi?

    Unahitaji group? Sent from my Pixel using JamiiForums mobile app
  11. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

    Pia izi nazo ziko vizuri zote zina patika play store Tiny Arches & Nova legacy
  12. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

    Moja ya games bora kwangu. Ni endless game so inakua haiboi try it. State of survival.... Play store inapatikana.
  13. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Njia gani zinaweza kumsaidia mtu ambaye yuko very sensitive emotional?

    Labda anataka kunijaribu Kama kweli nipo sensitive na negative emotional [emoji3] na kupitia ushauri wako nimesha mpuuzia. So njia yako inawork out naona[emoji106][emoji106]
  14. Mshati940

    JamiiForums Tanzania Njia gani zinaweza kumsaidia mtu ambaye yuko very sensitive emotional?

    Mtesi mwingine hatakua uyo alienza ku reply [emoji3] . But I got you nitalifanyia kazi
Back
Top Bottom