Recent content by Mshati940

  1. Mshati940

    Wizara ya Ardhi haitaki kuwalipa wataalamu wake?

    Nchi ngumu sana hii, watu wanasoma kwa shida, ajira mtaani hakuna, na hata ikitokea nafasi ndogo at least ya vijana kujikwamua serikali ndio inakua kikwazo cha kwanza.
  2. Mshati940

    Tupia wimbo ambao umeusikia mahala na ni mkalii ila kwa bahati mbaya haujapata nafasi ya kusikika sana

    Nadhani kuna wakati baadhi nyimbo nzuri zinatolewa na wasanii na nikalii sana kuzisikiliza lakini hazipati nafasi ya kupenya kwenye media kivile. Ebu tushirikishane izo nyimbo hapa chini 1. Kamanda by Bi Aisha 2. Jipe by Nadia ft Marioo 3. Nilipize by Ibranation 4.......... Sent from my Pixel...
  3. Mshati940

    Start to change now if you want be who you want to be

    Kama ungekua na busara ya kusaidia hao vijana unao waona wanaangaika kutaka kuajiriwa, ingekua vyema kushare mawazo au kuwashika mkono kuwaonyesha unacho fanya jinsi kinavyoweza kumsaidia nae ataaenda kumshika mwenzake hivyo hivyo. Ila izi porojo zakusema vijana wanataka kuajiriwa wakati kuna...
  4. Mshati940

    Nini kilikusaidia kupata kazi?

    Unahitaji group? Sent from my Pixel using JamiiForums mobile app
  5. Mshati940

    Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

    Pia izi nazo ziko vizuri zote zina patika play store Tiny Arches & Nova legacy
  6. Mshati940

    Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

    Moja ya games bora kwangu. Ni endless game so inakua haiboi try it. State of survival.... Play store inapatikana.
  7. Mshati940

    Njia gani zinaweza kumsaidia mtu ambaye yuko very sensitive emotional?

    Labda anataka kunijaribu Kama kweli nipo sensitive na negative emotional [emoji3] na kupitia ushauri wako nimesha mpuuzia. So njia yako inawork out naona[emoji106][emoji106]
  8. Mshati940

    Njia gani zinaweza kumsaidia mtu ambaye yuko very sensitive emotional?

    Mtesi mwingine hatakua uyo alienza ku reply [emoji3] . But I got you nitalifanyia kazi
  9. Mshati940

    Njia gani zinaweza kumsaidia mtu ambaye yuko very sensitive emotional?

    Habarini wakuu... Nimekua niki experience hii kitu yakua very sensitive emotional. Yaani ni rahisi mnoo kuwa captured kihisia na kitu fulani. Sasa shida inakuja pale kitu kinapokuja in a negative inanichukua muda mrefu kukiondoa kichwani. Nitaweka mfano wa visa ambavyo nimewahi kuvi experience...
  10. Mshati940

    Nimeshindwa namna ya kumshauri...

    Kwa mtazamo wangu, Ikiwezekana mkeo ampigie simu wifi yake kwa upole kabisa na busara kwamba kwa bahati mbaya ile sms aliyokua anatuma sehemu nyingine imekuja kwake na amuombe tu anachofanya sio kizuri Kama mwanamke mwenzake, angeweza kumwambia mumewe lakini hajapenda kufanya hivyo akiamini...
  11. Mshati940

    Changamoto za kukosa connection katika ajira

    Kwanini hashidwe kukuelewa mkuu
Back
Top Bottom