Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

Mzee inakuwaje hii huwa napenda san kuzipata hizi game za psp.....Najua tu app ya psp naipata playstore je hizi game je nazipatia wapi...?? kuna watu naona wamehack sijui ku patch Pes hadi Simba ipo[emoji3]
Mkuu Mambo yote ni Youtube Adi Unauwezo wa Kucheza Game la Mpira PS 2

Jingine ni Hili apa Linaitwa

SUMMERTIME SAGA

Mkuu ili Game ni Zaidi ya Porn kuna migongano Umo [emoji16].
Linapatika "Google", playstore Aulipati
20200813_100743.jpeg
 
Game lilikuwa linanipunguzia sana mawazo lile...Ntalipakua upya.
Ila ubaya online kuna watu wana experimental weapons.....
Hata asipokulenga unakufa.....
[emoji3][emoji3][emoji3]Enjoy it! mkuu
 
Moja ya games bora kwangu. Ni endless game so inakua haiboi try it. State of survival.... Play store inapatikana.
Screenshot_20201206-195617.jpg
 
Pia izi nazo ziko vizuri zote zina patika play store Tiny Arches & Nova legacy
Screenshot_20201206-195656.jpg
Screenshot_20201206-195726.jpg
 
mobile PES 2021 ilinishinda kwenye ratiba yao ya kuupdate kila mwezi, hadi wanakera
 
Kwa wale wa simulation racing games

Real racing 3....hapa andaa kama GB 4 hv ulidownload lote au GB2 za kuanzia...
Hili game balaaa kuna event kibao kwanzia formula 1 mpaka lmp's
Shida lina mambo ya currency sana kwahyo kama si mvumilivu itabidi umwage pesa sana
Kingine ni gumu mwanzoni kama ukitoa driving assists...bila ya kulizoea ila kama ukiwa determined baadae linakua addictive sanaaa


Assoulouto racing....hili GB moja na mb kadhaaa zuri nalo ila sio kali saana maana tracks sio nyingi kama RR3....

Indonesia bus simulator
 
Kwawale wapenzi wa online games ,hii hapa inaenda kukata kiu yako.

Inaitwa hackers yaani wadukuzi ni moja kati ya gemu pendwa sana .linapatikana playstore na appstore .
Game hii inakupa nafasi wewe mchezaji kuunda na kuikuza network yako ambayo itakuwa na fedha (Us dollars) ,bitcoins , server farms ( nodi yakuzalisha fedha ) pamoja na bitcoin mine (nodi yakuzalisha bitcoin.)
Zipo nodi zaulinzi kwaajili yakulinda network yako pindi inapokuwa imevamiwa na hackers wengine.

Kwahiyo utatumia fedha unazozalisha pamoja na bitcoins kulevel up pamoja nakudevelop nodes, na programes zakuhack network za wapinzan wako.

Game hii imeweka best hackers bod kwahyo kila unapopata point nyingi utaenda unapandishwa rank kwakupewa nyota , lakin pia wamerank best country kwa hacking.[emoji16][emoji16]

Game hii inawezakukuchukua takriban miaka hata mi5 bila yakuimaliza[emoji38] .mm nimeanza mwaka juzi ila mpaka leo nipo level ya 34 na nina nyota mbili katika rank yapili inayoitwa talent.

Kitu kingine kizuri kwenye game hii nikwamba linatunzwa katika gmail account yako kwahyo hata ikitokea umepoteza simu yako unaweza kulog in gmail yako kweny simu ingine nakuendelea na game kwenye level ileile uliyokuwa [emoji23][emoji23][emoji23] this is good .

Karibuni sana gamers wenzangu katika cyber war tuweze kuiwakilisha Tz vizur [emoji16][emoji16]

Screenshot_20201207-004039.jpg
 
Back
Top Bottom