nimeshawatumia msg wapangaji wangu kwamba wanatakiwa kulipa kodi mwezi mmoja kabla ya mikataba yao kuisha,korona haihusiani na ada ya pango,kama wakiona vipi wakapange mloganzila
chagu wa malunde,
nchi gani umesikia ina dawa ya korona?aukiwekwa karantin unapewa maji ya kunywa,panado na parasetam na ukikaa vibaya unarudi na mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.