Hapo ni changamoto hivi punde baba mwenye nyumba katoka kukumbushia kodi yake na tunako elekea ni kuzuri zaidi kama hatujaweka mahema nje sijui.Umenena vyema..kwenye kulipa Kodi hapo Sasa
Kwa ajili ya corona?Kondomu muhimu
nimeshawatumia msg wapangaji wangu kwamba wanatakiwa kulipa kodi mwezi mmoja kabla ya mikataba yao kuisha,korona haihusiani na ada ya pango,kama wakiona vipi wakapange mloganzilaUnaposema usilipe kodi ya nyumba, hapo unakuwa umempanga vipi mwenye nyumba..
Mchele ukikaa ikfika miezi miwili tu unaanza kutoa wadudu. Tafuta njia za kuukinga usitoe wadudu mapema usije pata hasara.Nina familia ya watu wawili na mimi nikiwa wa tatu nimenunua unga kilo 100 na mchele kilo 100 maharage kilo tano naomba mungu atuvushe korona iishe kabla ya msosi kuisha maana nimebaki sina balance
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio suala la utu kwanza. Hakuna. Ni watu wasio na source of income zaidi ya pango. Huyo a waive kodi ya miezi sita?Tatizo la kupanga nyumba kwa maskini wa akili na maarifa. Mtu kajenga nyumba ili impe kula hii ni only in TZ. Wenzetu mamtoni wana waive kodi hata kwa miezi 6 na hawatetereki. Utu kwanza!
Nashukuru mungu landlord wangu ni DON! Hata nikikwama mbeleni naweza kumpiga sound tu mambo yakaenda.
Miongoni mwa swali gumu na linaloumiza kichwa changu..... Prediction za WHO zilifeliAfter 2 MONTHS, Africa’s total confirmed Covid-19 cases reach 21,096, deaths hit 1,055. That’s 2.86% of USA’s cases, & 2.67% of its deaths – although Africa’s population is 4 times larger than America’s. Big Q: is the worst yet to come for Africa, or it will just be a slow burn?
even our f**king life is toughYou and them will wait for that in vain. Africans are not weak like Chinese or white people. Some of us we will not need even a hospital to recover because we are tough, even malaria knows that.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakua bank teller mkuuSijui utakua unastake what you can afford to lose manake na hii pia umepoteza 🙄
Mie sio MD 😅
Nenda moro hapoUmekosaa
Nipe mji
Bar zisifungwe kwamaana kodi ni bora kuliko maelfu kwa mamia ya watanzania watakaokufa na Covid19?Sio suala la utu kwanza. Hakuna. Ni watu wasio na source of income zaidi ya pango. Huyo a waive kodi ya miezi sita?
Angalia issue ya kufunga au kutofunga bar. TBL ni mlipa kodi mkubwa sana. Fungeni bar mkose kodi
Nenda moro hapo
Vipi na yule mkulu wa mbeya aliye tengua kauli yake ya kufunga bar ila wazingatie taratibu za kujikinga? Common sense ni kwamba Kodi,bia na bar havina thamani kuliko uhaiBar zisifungwe kwamaana kodi ni bora kuliko maelfu kwa mamia ya watanzania watakaokufa na Covid19?
Are using your damn senses well brother?
Exactly, afya kwanza then mengine yafuate! Mmarekani aliewekeza kwenye vita na majeshi badala ya kuimprove health sector pia amekipata cha mtema kuni. Na uchumi wote hata barakoa zilikuwa hakuna za kutosha.Vipi na yule mkulu wa mbeya aliye tengua kauli yake ya kufunga bar ila wazingatie taratibu za kujikinga? Common sense ni kwamba Kodi,bia na bar havina thamani kuliko uhai
Upo sahihiMiongoni mwa swali gumu na linaloumiza kichwa changu..... Prediction za WHO zilifeli
Sent using Jamii Forums mobile app