Recent content by mselm9

  1. mselm9

    Msaada Kuna yeyote anatumia paypal humu anicheki kwa 0689315582

    Kaka na mm nataka kuitumia vp crdb wanafanya hiyo huduma?
  2. mselm9

    Bei ya bati kwa bei ya agent,njoo ununue kiwandani

    Migongo midogo nyeupe. Bandle sh? Pia bati zako kampuni gani?
  3. mselm9

    Ushauri juu ya mabati imara ya kuezeka nyumba

    Sijakuelewa hapo hiyo nyumba ina mapaa mangapi
  4. mselm9

    Bati za rangi kwa bei nafuu

    Zakawaida sh ngapi kwa gauge 28
  5. mselm9

    Nasaidia wafanyabiashara kununua electronic accessories na bidhaa ndogondogo nchini China

    Mambo vp mkuu mm na hitaji vitu kutoka china ila ni viwili tu nishafanya manunuzi nataka kusafirishiwa tu. Nitakulipa naomba msaada wako.
  6. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    Inamaana ukitoa shipping fee. Unalipa tena vat18% na 20% au iko vipi? Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  7. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    China kaka. Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  8. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    Kaka naomba msaada wako mm nataka kununua alibaba na kila kitu tyr bado kulipa tu ila nilitaka kutumia dhl ila km ni hivyo dhl wanahagharama naomba njia nyengine.. Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  9. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    Kaka naomba muongozo maana mzigo wangu nataka uje kwa dhl. Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  10. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    Mzigo upo china Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  11. mselm9

    Android Tv Box......

    Ok Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  12. mselm9

    Msaada kupokea mzigo au parcel toka nje ya nchi kupitia DHL

    Wadau kikisha lipiwa kitu kutoka huko kupitia DHL nikienda kukipokea kuna any charges??
  13. mselm9

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Kaka naomba na mm muongozo nahitaji kuagiza kitu kupitia ali baba my namba ni 0712262322
Back
Top Bottom