Umri sio issue issue ni kupendana tu... Macron ashakuonyesha mfano haha.... cha msingi ni kuangalia unaempenda na mwenye akili ya maisha.... kuwa single mother ni kosa moja tu kama wewe unavyotenda kosa la kulala nae everyday wakati una mtu.... so kumtazama single mother kama mtu ambae hana...
Jambo la msingi hapa ni kwamba watanzania wanaopewa dhamana wapunguze kushabikia uvyama na umimi. Tuanze kuangalia maslahi ya Taifa kwenye mambo ya msingi. Tukishaweza hilo ndo kuheshimy taratibu na kuzifuata kufuate. Sa izi Hata Magufuli hapeleki issue zake za kununua ndege bungeni kwasababu...
Kama humpendi chapa mwendo. Kama unampenda kapemeni ukimwi akiwa fine funga ndoa kabisa na mali zote chukua hahahahaha. Tatizo lako ulishaanza kugegeda halafu ndo unaanza kutaka kutoroka. Ngoja akunyooshe
Maamuzi ya mtu mzima ujue ni ya kuheshimu na huku duniani ukitaka kucomplicate maisha utakufa mapema sana. Kiroho safi aende tu. Unaangalia ustaarabu mwingine.
Inawezekana kabisa mkuu. Sema ni watu wachache kwa tanzania yetu hii. Mimi mwenyewe ni moja ya hiyo sample, gari 2 na nyumba nzuri ya kawaida na nina 29 by now na sijaiba cha mtu. Mwombe Mungu na upambane bila kukata tamaa. Ukitegemea mshahara tu hautoshi. Nenda shamba, anzisha na vibiashara...
I agree with 100% na sijasema kwamba hawapo ili namba yetu ni chache kwa kweli. Tunahitaji kuongeza uwezo. Thats all. Siungani mkono na generalization kwamba watanzania ni wavivu.
Watanzania vijana wengi (sio wote) tunahitaji kubadilika hili lazima tukubali. Angalia makampuni yote ya kigeni rank zote za juu watanzania ni wachache mno kama sio hakuna kabisa. Hii inakupa indication kwamba bado tunahitaji kuongeza uwezo wa kuaminika katika majukumu makubwa.
Nafikiri swali lake linaweza kuwa na Mantiki. You cant out-shine your boss thats the principle. Mheshimu, fanya kazi yako kama JD inavyosema na zaidi ya JD acha mambo za kutumia internet za kazini kushinda facebook. Na ni kweli kila boss anatofautiana na boss mwingine hilo ulijue. Sio wote wako...
Usingemchukia ila maswali yako kimsingi Mungu anatakiwa akujibu kwasababu anakuonea wivu hataki upoteee. Namwomba Mungu akutane na wewe face to face mzungumze kama unavyotamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.