Recent content by Msakatonge Halali

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Sasa wewe unataka kutongozwa na mtu usiyemuheshimu?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Unapozomewa ni tafsiri watu hawakuheshimu kama unavyofikiria. Hawakuonei haya

    Truth well said, ni kama baba au mama akikuagiza jambo baya huwezi kumzomea, unaweza usilifanye tu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mabeberu Waliwalipa Mashabiki Kumzomea Mwana FA

    Elewa Fasihi mkuu,hii ni sarcasm
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    HATAKI wa Jose Mtambo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Nakumbuka KWENYE KUJUA UMEFIKA TAMATI, mgonjwa nilikua naenda kumuuguza ( alinimbia safari hii sitoboi) na kweli akafariki kabla sijafika kumuona.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Amen to this, huwezi amini natafura hata kazi ya ulinzi na sipati. Bahati mbaya hata accomodations Sina. Na nilikua mtu Mimi
  7. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Message yako imenigusa, mara kadhaa ndani ya wiki hizi mbili nimekuta nawaza kufanya kama yule boda.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    My current situation,nilipoteza kazi 2025, nikajaribu kilimo. Wakati wa kuvuna nikapata msiba, niliyemuachia akauza na kupotea. Nimepoteza kila kitu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Goal 3 tyr
  10. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    La pili tayari
  11. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Naendelea kukuombea Mkamaria, mechi ikiisha nirushie ten tu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuelekea 7/7 (Jubilee ya Dhahabu)

    Mkuu ntakutafuta PM, nicheki Okay poapoa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuelekea 7/7 (Jubilee ya Dhahabu)

    Mkuu ntakutafuta PM, nicheki please
Back
Top Bottom