Narudia kuwa Mnyika yupo sahihi na kasema ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema... Raisi Baraza la Mawaziri na wabunge woooote wa CCM ni DHAIFU.... ni ukweli usiopingika na Mnyika kamwe usifute kauli yako kwasababu Bajeti yenyewe ni udhibitisho mkubwa unayoyasema......
hii semina elekezi kwa mawaziri, manaibu na makatibu wakuu kwa muda wa siku nne ni kuongeza matumizi ya serikali tu.... sasa J.K si ulishawatembelea kwenye wizara zao ukaongea nao sana tu....sasaivi umewaita tena dodoma...huu ni ufujaji wa pesa ya umma.....tuna mambo ya msing mengi sana ambayo...
utampa nini jK, unajipendekeza bure tu... hautambuliki hata kwenye mtaa wako,, unatoa sifa za kijinga na kujiita mzalendo? nadhani we ni mzalendo wa wajinga wenzako....
polisi mkoani arusha imefunga barabara ya arusha moshi kuwazuia wanachi na wakereketwa wa chadema wa mkoa wa kilimanjaro ambao wanaingia mjini arusha kushinikiza kuachiwa kwa viongozi wao.....! habari zaidi zitafuata..................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.