Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Kishongo nimefurahi sana kwa barua yako nzuri kwa unayemuita mkuu wa polisi wa mkoa.Tuwekane sawa tu katika jambo hili kuwa damu iliyomwagika wewe umeibariki na unaona fahari kutoa pongezi kwa kazi nzuri unayoiona wewe ilivyofanyika.
Nashindwa kuamini kama kweli wewe ni mtanzania ambaye babu zako kama si baba zako walikuwa wakihangaika kupigania uhuru wa nchi hii dhidi ya unyanyasaji,dhuluma,kukosa haki na kujitawala.
Huu si wakati wa kupongezana wakati watu wana masikitiko haijalishi unatoka katika kundi gani.
Nashindwa kuamini kama kweli wewe ni mtanzania ambaye babu zako kama si baba zako walikuwa wakihangaika kupigania uhuru wa nchi hii dhidi ya unyanyasaji,dhuluma,kukosa haki na kujitawala.
Huu si wakati wa kupongezana wakati watu wana masikitiko haijalishi unatoka katika kundi gani.