TBC1, CCM na CUF lao ni moja tuhili liko dhahiri mkuu! Wanaboa kweli hawa TBC1 yaani hata kuweka mbunge wa upinzani hakuna?
kweli amewatukana tena tusi baya pale LISSU alipoonesha hamna habari za kuwabembeleza wazanzibar ktk huu MUUNGANO.Khalifa suleiman Khalfa anasema Tundu Lissu amewatukana sana wazanzibar, sasa mimi nimeshindwa kuelewa aliwatukanaje.
Usicheze na Lissu, yeye ni ukweli daima...wala hajaanza ukubwani. Si rahisi wala urojo wakamuelewa Lissu. Nashukuru Mungu jimboni kwetu tulimwelewa tukampa kazi ya kulisaidia taifa hili....go Lissu gooo.....
"Njaghamba iuhoma ilolo mnyampaa Lissu"
CUF ilishajichimbia kaburi hata MTATIRO afanyeje haiwezi kufufuka kwa ujinga wa hawa wabunge wake
Huyu ni mtani wangu lakini ni bonge la mtu hatari sana katika nchi hii, maana pamoja na kuwa mwanasheria amekuwa akikiuka mambo mengi yanayohusu sheria, na amekuwa mnafiki sana,, anajiona huyo na anadharau sana hata kwa wabunge wenzake ,, kale ka asili ya kwao anataka kukaleta bungeni,..