msaka mahela
Member
- Jan 6, 2011
- 10
- 3
wanaudh sana wabunge wa ccm kaz yao kukataa hoja za wapinzan hata kama ni za msingi kwa nch yetu! badilikeni lasivyo mkija majimboni tutawachapa..!
La kushangaza ni kwamba baadhi ya wabunge hawakuwepo wakati hoja ya lissu inaongelewa wameenda kuitwa ili waje kupiga kura. Wengi wao ni ccm. Sasa hii kweli ni haki jamani?