Tulikua tunamdai jamaa alete mashambulizi sawa sawa na mazayuni
Kumbe Iran haikua ikishambulia mara kwa mara
Nmeona mdau wetu Business Intelligent na yeye kaleta mara 2 tu siku nzima
Kwahiyo matusi alikua anaporomoshewa bure tu.
Walikua wanakutukana bure tu bro kwa kutoleta mara kwa mara updates za Iran kupiga Israel
Kumbe hakukua na mashambulizi ya mara kwa mara kama walivyokua wanataka
Imagine kaja mtetezi wetu ndugu Intelligent na yeye anasimulia mambo ya houth kuwait iraq
Wakati sisi tunataka kusikia tel Aviv...
—❗️🇮🇷 NEW: Iranian media confirm the death of former President Mahmoud Ahmadinejad in yesterday's attack
@Middle_East_Spectator
We jamaa hata hebu jiheshimu yani kati yako wewe na Iranian Media tumuamini nani?
Hao Middle East Spectator ni kama online channel ya HAMAS unaona watatoa habari...
Hao wanavyopenda kukusanyika kama manyumbu
Uzinduzi tu wa kisima cha mtaa au soko tu unaona Rais VP PM CJ SPEAKER CDF IGP DGIS CGI CGP na mawaziri wote
Wapo zao chini ya maturubai na nyimbo za mpoto zinapigwa
Ndege 1 tu inatosha kuanza upyaaaa
Sikuuuuu? mbona ndefu
Sema ile dakika moja iliyomuondoa babu Ayatollah ndio kitu pekee tungemudu
Kwa viongozi hawa wanaolilia kutopigiwa makofi wanamudu vipi hiyo pressure ya makombora
2020 kuna barua ilivuja DGIS akimuandikia Katibu Mkuu kiongozi kuwa vijana wengi wanatoka kule kwenda kugombea ubunge moja ya majina ilikua la huyo bwana kwahiyo hayupo hapo kwa uchadema wake bali kwa utumishi wake kule kwingine.
Mkuu naomba kuuliza
Hivyo viwanja utaviuza kwa miaka 8?
Sio ukiuza utanunua vingine halafu utauza tena
Halafu mtu alouza 120M leo thamani ya pesa itakua sawa na 130M ya baada ya miaka 8?
Nyumba kwa kipindi cha miaka 8 utakua umefanya maintenance mara ngapi? Ili iweze kubaki katika thamani...
Mzungu ashachukua,mali ngapi bila hayo maandamano wakati ile mikataba ya ovyo ovyo ya madini inaingiwa kulikuwa na maandamano gani? Mzungu hawezi kusubiri upigane ndio achukue hizo mali kwa,viongozi wenyewe corrupt hawa
Mali zonazochukuliwa baada ya vurugu ni kwa viongozi wazalendo kama Libya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.