Hiyo hela yote itaishia TRA na kufuatilia vibali
Hujaingia bongo wewe
Sijui osha TRA, TBS, NEMC, BRELA, FIRE, INSURANCE na wengine kibao local government
kukulukakala kibao mradi watafune huo mtaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani mtu anaona biashara ni ya kila mtu anaweza kufanya tu
Yani nikose vyote biashara na makazi bora nibaki na hilo hilo boma
Kuliko kuja kuweka million 30 halafu niishie kutajirisha watu tu
Ashasema mtu anafanya kazi posta alitaka biashara isimamiweje
Kuna muda...
Agent wako anakutia ujinga kila siku mizigo inatoka hapo Airport huo mfumo umezuia mzigo wako pekee yako Mkuu
Siku nyingine uwe unatoka hapo ofisini kwako nenda site.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue hadi nmeogopa nikasema hivi me ndio sioni hizi fursa yani nimeenda kutafuta kiwanja cha million 8 huko pori kumbe karibu na vyuo vikuu kuna maeneo ya million 3 tu kwahiyo ningeongeza million 2 tu ningejenga na hostels niwe navuta mpunga tu saa hizi
JF DAH.
Eneo lililokaribu na chuo kikuu liuzwe million 3?
Lenye uwezo wa kujenga vyumba 15?
Self contained bedroom 6?
Nyie jamani Nyie mbona mambo ya kufikirika haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.