Recent content by msafi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jamani asiwadanganye mtu — kuokoka ni kutamu!

    Hakika Kumwamini Yesu kuna baraka sana. 2kor 5:17, "Hata imekuwa, Mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita, tazama yamekuwa mapya". Nimeokoka nikiwa mwanafunzi wa sekondari O'level, na sasa ni zaidi ya miaka 25, ninauona wema wa Mungu maishani mwangu. Yesu yu karibu...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tupige magoti kwa Mungu kumuombea Prof. Janabi ashinde Ukurugenzi WHO kanda ya Afrika

    ila, tangu jamaa aanzishe utaratibu wa kulipia getini muhimbili unapoingia na gari, sijafurahishwa kabisa, maana watu wanakwenda muhimbili kwa sababu ya changamoto za afya, siyo shopping mall kama mlimani city, kwamba hata ukiambiwa kulipia, siyo neno. Waziri wa afya aangalia namna ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

    Kenya ni nchi huru wana haki ya kuamini kila mzungu anachofanya, Tz pia tuko huru kufanya tunachotaka sasa na si kwa masharti au maelekezo ya mzungu. By the way, nchi nyingi zitakuja kufahamu kuwa, wameharibu uchumi wao na corona bado wako nayo, mpaka pale watakapokubali kuishi nayo. Corona...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

    Tatizo kubwa ni uelewa na mambo ya "Copy and Paste" kisa mzungu anafanya: Mtu akipimwa na kuwa +ve, haimaanishi kuwa tayari ni mgonjwa wa covid. Asilimia 85 hadi 95% ya waliopimwa na kuwa +ve, hawaonyeshi dalili zozote za ugonjwa wa covid (asymptomatic) au mild symptoms na hupona baada ya siku...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Naomba kufahamu engine yake ni aina gani?
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa (UN) wapitisha azimio la kila taifa kupata chanjo ya Corona kwa usawa pale itakapopatikana

    Maandalizi ya utawala wa Mpinga Kristo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kujenga barabara bila pavement kumefanya DSM kuwa mbayaa

    Wazo zuri kabisa. Ati unakuta lami imepita kwenye mtaa, halafu kutoka lami hadi nyumba za watu kama mita 5-10, na ni udongo tu, kwa nini wenye nyumba wasigharamie kuweka hata zege au pavement kuunganisha na lami?? Kuna barabara nzuri mfano wa mwendokasi, imejengwa kutoka kimara korogwe hadi maji...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kujenga barabara bila pavement kumefanya DSM kuwa mbayaa

    Unakuja barabara imewekwa lami, pembezoni si tu kwamba hakuna pavement kwa waenda kwa miguu, bali hakuna kingo, na mvua ikinyesha, udongo wa pembeni wote unaingia barabarani, ikiwemo uchafu. Mbaya zaidi hata mitaro unakuta hakuna, maji kutoka maeneo mbalimbsli yanaingia barabarani, na muda si...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri wakati wa mkutano wa mkurugenzi mkuu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF)

    Tatizo ni bei za dawa baadhi ziko chini kuliko hata wholesale wanavyouza, wakikupa ni hasara. Wajaribu kuwaambia nalipa cash, kama hawatakupa hizo dawa. Sehemu nyingine kama muhimbili, wakiona bei ya hiyo dawa ni kubwa kuliko bei ya NHIF, wanakupa mbadala, ambayo bei yake iko chini.
  10. M

    JamiiForums Tanzania TBS na TFDA, mmesikia Kenya walivyofungia unga wa mahindi?

    Sumu ya Aflatoxin inayoweza kusababisha saratani ya ini, hupatikana kwenye mazao yaliyopata fungus na si kwa sababu ya dawa iliyopulizwa. Mazao kama karanga, mahindi, mihogo au hata mikate, isipotunzwa vizuri huanza kuota fungus/kuoza na fungus hao ndiyo hutoa hiyo sumu. Kuwa makini unapokula...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Rwanda inaendelea kwa kufuta taratibu sisi tunaendelea kwa vululu vululu

    YEHODAYA, Atakuwa anaongelea kigali ila si kweli kuwa bodaboda hawaruhusiwi mjini, wanaruhusiwa, ila tofauti na hapa kwetu, wanasimamia sheria, bodaboda hawezi kuondoka mpaka uvae kofia na kubeba mshikaki ni mwiko. Pia, TANROAD/TARURA wanachakujifunza kutoka NPD ya Rwanda kwenye ujenzi wa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Eritrea panatisha, Bora Tanzania

    Nilikuwa Asmara mwezi May mwaka huu, mmoja wa mbongo tuliyekuwa naye, akamtania binti mmoja kuwa anataka kumuoa aje naye Dar, ilikuwa shida....binti alifurahi sana na alikuwa tayari kabisa.........wako desperate sana, wanaishi kijamaa. Na cha ajabu, kama umeingia Asmara, huruhusiwi kwenda mji...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

    Nimemsikiliza, ana mambo mazuri sana na uelewa mkubwa wa masuala ya uwekezaji na mitaji. Alitolea mfano Singapore, wanapotafuta mwekezaji, wanakuwa wamefanya utafiti wa kutosha juu ya uwezo was Hugo mwekezaji wanayemtaka, na wao kama nchi wanakuwa pia wamekwisha Fanya utafiti wao na kuweka...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dreamliner ya ATC yaleta Neema Tanzania

    Mengine sawa lakini LA nafuu ya nauli so kweli, maana baada ya ticket za promotion kuisha nauli iko juu kuliko FN. Ni majuzi ilinibidi kukata FN kwenda Mwz na kurudi maana ilikuwa nafuu kuliko ATCL
Back
Top Bottom