Nilikuwa Asmara mwezi May mwaka huu, mmoja wa mbongo tuliyekuwa naye, akamtania binti mmoja kuwa anataka kumuoa aje naye Dar, ilikuwa shida....binti alifurahi sana na alikuwa tayari kabisa.........wako desperate sana, wanaishi kijamaa. Na cha ajabu, kama umeingia Asmara, huruhusiwi kwenda mji...