kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,922
Yupo vizuri sana
Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi.
Asema faida za benki zimepungua sana
Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya
Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji
Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji
GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya Apples
Kujenga uchumi wa viwanda kama China kuchukua miaka si chini ya arobaini
Hakuna uwekezaji mkubwa nchini tangu ule wa migodi ya dhahabu
Kwa nondo hizi na nyingine nyingi nahisi watu wasiojulikana wanazuia sehemu ya pili wiki ijayo
Anahoji kilimo kwanza kiliishia wapi.
Asema faida za benki zimepungua sana
Viwanda vya saruji kupata hasara ni ishara mbaya
Anasifia viongozi wa Africa wanaoenda nje kutafuta wawekezaji
Amani na raslimali sio viegezo pekee cha kuvutia mitaji
GDP ya Tanzania ni 5% ya mapato ya Apples
Kujenga uchumi wa viwanda kama China kuchukua miaka si chini ya arobaini
Hakuna uwekezaji mkubwa nchini tangu ule wa migodi ya dhahabu
Kwa nondo hizi na nyingine nyingi nahisi watu wasiojulikana wanazuia sehemu ya pili wiki ijayo