Recent content by Mruma J

  1. Mruma J

    Ndugu yangu Mbowe, Mungu atakulipia yote

    Hivi Mbowe anania kweli yakuwasaidia Watanzania au usanii
  2. Mruma J

    Ndugu yangu Mbowe, Mungu atakulipia yote

    Hivi Mbowe anania kweli yakuwasaidia Watanzania au usanii
  3. Mruma J

    CHADEMA ni Taasisi kubwa, ninawaomba viongozi waiendeshe kitaasisi

    Ila tuseme ukweli hawa watu wanao jiita makamanda ni waongo sana
  4. Mruma J

    Natafuta marafiki wa kike

    Mimi ni kijana wa miaka 30 naishi Moshi Kilimanjaro nina mke na watoto 2 najishuhulisha na biashara mbalimbali ili kukidhi mahitaji yangu yakila siku.. Nahitaji marafiki wa kike wakuchat na kubadilishana mawazo kama dada upo tayari karibu PM unitumie sms tupeane namba sichagui dini wala umri...
  5. Mruma J

    Natafuta rafiki wa kike

    Pole sana dada yangu karibu tuwe marafiki, mimi nina mke na watoto wawili ila nina imani urafiki wetu hautaharibu amani yako wala ya familia yangu maana mimi nimtu timamu please karibu inbox tuongee zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mruma J

    Nini tofauti kati ya Maruhani, Mapepo, Mashetani na Majini?

    Kwa maelezo yako unataka kutuaminisha kua hata virusi wa UKIMWI, maleria, nk wanaweza kuitwa (jin) kwasababu hawaonekani..?
  7. Mruma J

    MSAADA WA JIBU LA SWALI HILI

    NAOMBA JIBU LA SWALI HILI
  8. Mruma J

    Ushauri wangu kwa watengenezaji wa ndege za abiria

    Mimi nawashauri waombe mawazo na utaalam kutoka kwa wale wataalam wa usafiri wa ungo kwamba wao hufanyaje hata wakianguka hawafi maana sijawahi sikia mtu ameanguka na usafiri wa ungo akavunjika au kufa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mruma J

    Dawa ya ajabu ya kuzuia kutapika niliyokutana nayo kwenye basi

    Hahahaa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mruma J

    Natafuta marafiki wa kike

    Mimi ni mwanaume nipo Kilimanjaro, nimejiajiri natafuta marafiki wa kike tu wawe wajasiria mali. Lengo ni kubadilishana mawazo kwani mimi naamini kua nahitaji sana ushauri kutoka kwa wanawake kwani wanawake ni mama zetu, dada zetu, shemeji zetu na hata wake zetu hivyo naamini tutakua tunapeana...
  11. Mruma J

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Mpare kumbe anaongea kingereza
  12. Mruma J

    Kutokufanya mapenzi kuna madhara?

    Acha maswali yaajabu inamaana hujui kua ukiakia kula kitu usle unadhoofika sasa hayo sindo madhara
Back
Top Bottom