Najua Yanga kwa vile wamelewa na kubebwa ... wapo tayari simba isitokee uwanjani .
Na simba bora kugoma , mechi ya goli la mkono ilidhihirisha yeboyebo wanabebwa.
Mleta mada na wengi mliochangia ni pointless tupu!!!
Wewe una degree ya kilimo, unataka uombe kazi ya Uhasibu, eti kisa wanamtaka mhasibu mwenye degree na wewe unaenda na degree yako!!!
Najua wengi hamtanielewa namaanisha nini.
Nimegundua nyie mnaobishana kuhusu utajiri wa nchi bado hamjui mnachobishania,
1.kuna tofauti ya biggest economy.
2.kuna tofauti ya richest country.
HIVI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
Unaposema biggest economy country in the World.
USA ndio inaongoza ikifuatiwa na CHINA ambayo ni ya pili...
Sasa mnasema picha hazifai hata kuwekwa ktk mitandao maana anatisha kwa majeraha ya risasi!!! Na polisi wanasema walikuwa Wanamkimbiza hospital kwa matibabu, hivi kuna ukweli hapo. Ok karushiana risasi na polisi, je yupo police aliyejeruhiwa hata mguu? Au jamaa hana shabaha?!!! Kwa kumalizia tu...
Wewe kweli hujui kinachoendelea Duniani!!! Nani kakudanganya kuwa Israel imewashindwa Hamas, ni miaka sasa Hamas wameufyata mkia na Israel inaendelea kujenga makazi ya wayahudi bila kusikiliza UN au human rights watch wanasemaje. Kumbuka hamas ikiua Myahudi mmoja, Israel inaua wapalestina wengi...
Ujue hapa ndio ninapojua kuwa hutumii akili, jamaa amekujibu vizuri sana, kutumia acronym au abbreviation lkn ina maana nyingine ni sawa tu! Ili mradi tu kusiwe na chama kingine husika ndani ya nchi hiyo hiyo kinachofanana abbreviation na Chama hicho kinachohitaji usajili. Nakupa mfano hai, USA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.