inasemekana hakuna cha mateka na kama wapo si idadi inayosemwa kwani huwezi kuficha kundi kubwa la watu zaidi ya 200 wasionekane hata kama msitu mnene vipi kwani kuna vifaa kama heat tracking signature vingewapata tuIsije kuwa kama ndege ya malysia zilianza kelele nyingi mwisho kimya, hao islael ni wakawaida subiri siku marekani akitoa mwamvuli wake utaona kichapo atakachopata
kwa taarifa tu wakenya waligoma msaada na walioingia ndani ya wastgate na Kenya Defence force na wale special force yao ambapo baada ya kuuliwa kamanda wao walisusa na kutoka na kuwaacha KDF ndani na hawakuokoa kitu zaidi ya kunywa pombe mle supamarket.[/QU
nilishangaa sana watu watatu wakatikisa jeshi zima afu tena jamaa wakasepa hata bila kutambulika!! Ila mosad waliwaambia wawaachie ile kazi dakika kadhaa ingeisha ila KENYA DRINKING FORCE WAKALAZIMISHA MATOKEO YAKE WAKATWANGANA RISASI WAO KWA WAO afu wakachoma na jengo kabisa duh!? Ila najua kenya itabidi ilipe
Westgate ni ya waisraeili(60% owner/investor)na walihusika kuokoa 100%...kama haujui sema ufahamishwe!
Baada ya taifa la Israeli kutangaza kuwa litaisaidia Nigeria kuokoa Boko Haram-basi huo umeisha kuwa mwisho wa boko haram. Tazama mwenyewe waisrael walipoingia Kenya kuwanyamazisha wauaji wa water gate walipokuwa bado wanapiga risasi golofa ya pili. ni masaa manne 5u walitumia kukomesha kiburi chao!
halafu Israel ndio iliyoisambaratisha the Black september mwaka 1972. baada ya black septrember kuwauwa wanamischezo wa Israeli katika munich Olyimpic , Israel ililipa kisasi kwa kwasaka kiongozi wao mmoja mmoja mpaka wakamuuwa wa mwisho Abu nidal mwaka 1986 mjini tunisia kwa risasi mia nane mwilini huku mkewe na watoto wake wakiangalia live na video ilikuwa inachukuliwa pole polepole. Mkewe abu nidal hana akili nzuri mpaka leo, yuko kama vile punguani baada ya kushuhudia mauaji ya mmewe.
Leo hii wajuu wa Abraham(waisraeli) wanaingia Lagos mpaka huko Beno kuhakikisha Boko haram hana tena maisha marefu. wewe chunguza msako utakavyo wakamata viongozi walioshuriki kuipa kichwa Boko haram.
Baada ya taifa la Israeli kutangaza kuwa litaisaidia Nigeria kuokoa Boko Haram-basi huo umeisha kuwa mwisho wa boko haram. Tazama mwenyewe waisrael walipoingia Kenya kuwanyamazisha wauaji wa water gate walipokuwa bado wanapiga risasi golofa ya pili. ni masaa manne 5u walitumia kukomesha kiburi chao!
halafu Israel ndio iliyoisambaratisha the Black september mwaka 1972. baada ya black septrember kuwauwa wanamischezo wa Israeli katika munich Olyimpic , Israel ililipa kisasi kwa kwasaka kiongozi wao mmoja mmoja mpaka wakamuuwa wa mwisho Abu nidal mwaka 1986 mjini tunisia kwa risasi mia nane mwilini huku mkewe na watoto wake wakiangalia live na video ilikuwa inachukuliwa pole polepole. Mkewe abu nidal hana akili nzuri mpaka leo, yuko kama vile punguani baada ya kushuhudia mauaji ya mmewe.
Leo hii wajuu wa Abraham(waisraeli) wanaingia Lagos mpaka huko Beno kuhakikisha Boko haram hana tena maisha marefu. wewe chunguza msako utakavyo wakamata viongozi walioshuriki kuipa kichwa Boko haram.
Baada ya taifa la Israeli kutangaza kuwa litaisaidia Nigeria kuokoa Boko Haram-basi huo umeisha kuwa mwisho wa boko haram. Tazama mwenyewe waisrael walipoingia Kenya kuwanyamazisha wauaji wa water gate walipokuwa bado wanapiga risasi golofa ya pili. ni masaa manne 5u walitumia kukomesha kiburi chao!
halafu Israel ndio iliyoisambaratisha the Black september mwaka 1972. baada ya black septrember kuwauwa wanamischezo wa Israeli katika munich Olyimpic , Israel ililipa kisasi kwa kwasaka kiongozi wao mmoja mmoja mpaka wakamuuwa wa mwisho Abu nidal mwaka 1986 mjini tunisia kwa risasi mia nane mwilini huku mkewe na watoto wake wakiangalia live na video ilikuwa inachukuliwa pole polepole. Mkewe abu nidal hana akili nzuri mpaka leo, yuko kama vile punguani baada ya kushuhudia mauaji ya mmewe.
Leo hii wajuu wa Abraham(waisraeli) wanaingia Lagos mpaka huko Beno kuhakikisha Boko haram hana tena maisha marefu. wewe chunguza msako utakavyo wakamata viongozi walioshuriki kuipa kichwa Boko haram.
Baada ya taifa la Israeli kutangaza kuwa litaisaidia Nigeria kuokoa Boko Haram-basi huo umeisha kuwa mwisho wa boko haram. Tazama mwenyewe waisrael walipoingia Kenya kuwanyamazisha wauaji wa water gate walipokuwa bado wanapiga risasi golofa ya pili. ni masaa manne 5u walitumia kukomesha kiburi chao!
halafu Israel ndio iliyoisambaratisha the Black september mwaka 1972. baada ya black septrember kuwauwa wanamischezo wa Israeli katika munich Olyimpic , Israel ililipa kisasi kwa kwasaka kiongozi wao mmoja mmoja mpaka wakamuuwa wa mwisho Abu nidal mwaka 1986 mjini tunisia kwa risasi mia nane mwilini huku mkewe na watoto wake wakiangalia live na video ilikuwa inachukuliwa pole polepole. Mkewe abu nidal hana akili nzuri mpaka leo, yuko kama vile punguani baada ya kushuhudia mauaji ya mmewe.
Leo hii wajuu wa Abraham(waisraeli) wanaingia Lagos mpaka huko Beno kuhakikisha Boko haram hana tena maisha marefu. wewe chunguza msako utakavyo wakamata viongozi walioshuriki kuipa kichwa Boko haram.
wameishindwa hammas inayowauwa kila siku wataweza boko
kuwa ya waisrael sio sababu ya wao kuingia kufanya uokozi wa kimaambano. ingekua ndivyo nchi zingekua zinakwenda kuokoa raia wao katika mataifa mengine kwa sababu tu ni raia wa nchi hizo. sasa kwa kukusaidia wewe ilikua hivi. Israel baada ya kuangalia na kuona mazingira na hali nzima ya kilichokua kinaendelea (Situation assessment) waliamua kuchukua operation nzima wao wenyewe bila kuingiliwa jambo ambalo Kenya walilikataa wakitaka na wao wawe katika operation hiyo. Israel wakaamua kujitoa ila kimsingi Izrael walisema operation ile ilikua ndogo sana haikuhitaji kuhusisha jeshi na askari kwengi kiasi kile. Serikali ilipokataa wakajitoa na kuondoka zao. hivyo ndivyo ilivyokua. mimi najua westgate ni ya waisrael sawa lakini hawakuhusika katika uokozi kwa sababu tu ni ya kwao (huyo mama wa kiyahudi) anaeimiliki ila walihusika kwa uzoefu wao ingawa baada ya kupishana na serikali ya kenya walijiondoa. na pale hamna uokozi uliofanyika ila magaidi walipotelea katika hewa nyepesi hakuna cha kusema serikali iliwashinda au iliwaua au iliwakamata. It was a failure operation wala si ya kujisifia.
kwahiyo nani gaidi zaidi ya mwenzake hapo?Wewe kweli hujui kinachoendelea Duniani!!! Nani kakudanganya kuwa Israel imewashindwa Hamas, ni miaka sasa Hamas wameufyata mkia na Israel inaendelea kujenga makazi ya wayahudi bila kusikiliza UN au human rights watch wanasemaje. Kumbuka hamas ikiua Myahudi mmoja, Israel inaua wapalestina wengi bila kujali mzee au mtoto. Ailaanie Israel amelaaniwa, na aibarikie amebarikiwa. Usicheze na Taifa teule la Mungu.