William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
..kumbe wakazi wa Kata ya Kijitonyama-Kinondoni hawakukosea kukunyima kura za udiwani,uchaguzi wa 2010,unauwezo mdogo sana wa kujenga hoja na kuchanganua mambo ndugu Bulembo..
- Sasa utalinganisha Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na diwani? hivi nyie mna nini jamani!, wewe unaweza kumlinganisha Mjumbe wa CC na diwani?
Le Mutuz