Aina eneo na ndio hilo linalonicheleweaha
Swala LA soko halisumbui kabisa.
Nafikiria kutafuta shamba Moro na Pwani ila sasa sijui watanikodishia kwa sh ngapi
Habarini wakuu,
Natafuta kazi ya kufundisha kwenye vyuo vya hotel management. Nina uwezo wa kufundisha kuanzia nadharia hadi kwa vitendo, vyakula kuanzia breakfast menus, cold and hot staters, main course.
Hapo kuna mawili,hio mijimama inaitaji shuhuli pevu sana.humu hao vijana wadogo wajiitaji kulelewa MAANA ndio rika yakuwa nabishoo na wengi wao hawana kazi hivyo ile mijimama inawapa pesa .marioz
OK kama anauwezo huo mzuri tembelea zoom kuna sehemu wanaitaji waetres 3 kule mbezi beach.ukishatuma maombi itabidi unipe no zako mm nikutumie no za MTU mwingine ampigie yeye aongee nae labda wataafikiana vizuri.chamsingi akiwa anaongea nae ajiamini sana.
Naitaji kufanya kilimo cha mboga mboga maeneo yanayozunguka Dar es salam. Sasa nataka kujua kwa wenye uzoefu mzuri mtaji wa kimo cha chini na cha kati niwe na shilingi ngapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.