Vijana wadogo na mijimama

Hapo kuna mawili,hio mijimama inaitaji shuhuli pevu sana.humu hao vijana wadogo wajiitaji kulelewa MAANA ndio rika yakuwa nabishoo na wengi wao hawana kazi hivyo ile mijimama inawapa pesa .marioz
 
Ukijaribu hutoki hawa majimama ni htr tupu c wahongo appointment anafika mapema hawana wivu na finance wako vizur.
Mabint wana vilio vingi mara nataka cm Mara saloon mpaka kero lkn kwa hawa wastaafu ww ni kiuno chako tu na kumtosheleza baaas utakula mpaka hela ya urithi ya mmewake
 
Ukijaribu hutoki hawa majimama ni htr tupu c wahongo appointment anafika mapema hawana wivu na finance wako vizur.
Mabint wana vilio vingi mara nataka cm Mara saloon mpaka kero lkn kwa hawa wastaafu ww ni kiuno chako tu na kumtosheleza baaas utakula mpaka hela ya urithi ya mmewake
umefunga kazi mkuu najua umefaidi sana
 
Wamama wakubwa hawakupi mawazo kuliko hivi visichana vidogo na pia wamama wana mapenzi ya kweli
 
Siku hizi wanawake wasioolewa wameongezeka. Wakiwa above 30 inakuwa vigumu kupata wachumba kwasababu wanaume size yao tayari wameoa. Wengi hukuta wamekata tamaa na kutaka kujiridhisha na vitoto vidogo. Hili ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwamamke anahisi vizuri kupendwa na kijana mdogo kwa kufikiri kwamba naye bado wamo.
 
Ukijaribu hutoki hawa majimama ni htr tupu c wahongo appointment anafika mapema hawana wivu na finance wako vizur.
Mabint wana vilio vingi mara nataka cm Mara saloon mpaka kero lkn kwa hawa wastaafu ww ni kiuno chako tu na kumtosheleza baaas utakula mpaka hela ya urithi ya mmewake
Msisahau UKIMWI
 
Wako vzur sana kwenye bed unaweza kwenda hata round 10 bila kuchoka kizur Zaid ni kwamba unsvuozidi kupiga Kazi ndivyo unavyo sifiwa Zaid lazima upagawe sio mchezo hasa kwa wapenda long passes hapa panatuhusu
 
Back
Top Bottom