Recent content by MrKanteChelsea

  1. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo adai kupokea vitisho kutoka kwa Mwigulu

    Hapo haitaji mwandishi siku hzi mtu akiweza kuwa na mic ya wireles simu ama camera photoshop na premeir najipostia vitu tu
  2. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Zaidi ya Wanachama 113 wa CHAUMMA watimkia CUF. CHAUMMA imekwisha 🤣

    Yule shekh mkata vichwa katika ubora wake
  3. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Mjita wa bunda huyo.. japokuwa amekanusha anadai wameipika clip akiwa na maana hiyo
  4. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Mara ipi mbona dah mtu kusema na kujivika uongo kisa vijisent
  5. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Sijui niliyoyasoma Kwenye Laptop waliyomnyang’anya Lopelope niyeweke wazi au nijiridhishe kwanza?

    Inaonekan ilichapwa kwa karatas kisha ikafanyiwa scan kuwa soft ukapandishwa
  6. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mweusi tiiii aliyezishinda mahesabu kompyuta za NASA

    Wakudanganye kilaza kama wewe wapate nini wakati asilimia 90 ya tech unatumia yao .. hizo tv unazotazama bila sattelite ungetazamaje channel
  7. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania CCM ikitoka madarakani Simba na Azam ndio zitakuwa timu kubwa na watani wajadi Tanzania

    Hili taifa lina mambo ya ajabu sana kwanza simba na yanga ni tatizo
  8. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Umeona mimi ni man u ushabiki wa bongo bwana
  9. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Zinaingia kwa aina ya uchambuzi unaotolewa wa hovyo
  10. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Kwani Hull citu hana haki ya kufungua ligi vizuri au simba na yanga zimeharibu vichwa vyenu
  11. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania NBC PL imeanza tayari ila EPL,SERIA A,LA LIGA,BUNDAS,LEGEA 1 bado ila nbc itakua yamwisho kuisha

    Ligi ya tanzania ya hovyo hovyo ccm kwa sana na usimba na uyanga tu
  12. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Mfano hausiani na mada shuleni ulikuwa unakaa nje na mawe ya chokaaa
Back
Top Bottom