Duh mimi mwenyewe nliwahi kwenda ni mateso tupu unajitolea na hakuna hat sent unayolipwa..nikukaa vijijini mnachimbia watu vyoo mnajipikia wenyewe na kulala kwenye ma tent..yani upuuzi mtupu na ukishaingia umeingia hakuna kuaga unaenda home au wapi mpaka miezi uliyopangiwa iishe na certificate...
Watu walishachaguliwa kitambo ni kweli kabisa kama huna refa sahau kabisa maana watu walikua washachaguliwa kitambo kabla ya ww kuapply! Ww cha msngi ni kutafta tu pengne sahau kabsa kuhusu uhamiaji.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Umekosea sana kwa kudharau mtu anadiploma ya ustawi wa jamii kajibweteka, na ww unadegree ni mkulima, haijalishi unaweza kuawa na hata masters umesoma Oxford university na ukawa muuza matunda!! Kila mtu anastyle yake yakutafta maisha bana!! Usiwe hivyo fikiria kwanza!! Mwanzo wa mada ulikua...
Mimi ni msichana mwenye miaka 24, nimemaliza certificate ya records management pale chuo cha utumishi wa umma natafuta kazi ya Record Management popote pale nafanya.. natumaini mtanisaidia kwa hilo tafadhali
Ni kwel kabisa mkuu umenena, tatizo wivu unatutawala na kwa mtindo huu tutakua tukitenda dhambi kwakumhisi mtu vibaya tu. Keep it up Riz and God bless u, go ahead usijali wasemayo fanya yako Mkuu!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Huyo kaka anaitwa Shafii ni tapeli mkubwa kashawaliza wengi yuko na mwenzie anaitwa Rachel tena tapel wa kike duh, usidanganyike ndugu take care, watu wengi walishalalamika humu ndani kwa ajili yake.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Inategemea Iman zao zilikua wapi, kwahyo usimparamie kisa kasema YESU ndio kampa kazi, na anauhakika kwamba yeye ndio kampa kazi maana yeye ndie amuaminie kwa kila jambo na akamjalia akapata, so usihuzunike sana kisa kampa sifa YESU wake aliyemsaidia!!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ila tukumbukane bana endapo unaona tangazo la kazi basi mshirikishe na mwenzio!! Pia nimekucourt kwenye neno kubar badala ya kubali!! Sorry for that nataka nikurekebishe tu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hahaha, inaelekea unapenda kuhongwa au kulelewa na mwanamke ndio maana unasema kuoa maskini ni uzembe, mapenzi hayachagui maskini wala tajiri, mapenzi ni kuheshimiana na kupendana kwa dhati hata kama hamna chochote!! Jipange na ufikirie kwa kina kabla hujaropoka
Sent from my BlackBerry 9700...
Tena mtu kama huyu mropokaji hovyo hana hata kazi ya maana, kwahiyo anatamani hata hii oportunity yakuapply angeipata lakini olaaa, tena huyu hata cheti cha form 4 hana, so msijali watu wangu msibabaishwe na wasiojitambua na hata future hawana!! Wishing you all the best of luck na Mungu akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.