mkuu kwanza hongera kwa kuthubutu!ila bado hujaweza! nakuomba urejee stick thread ya kwanza kwenye jukwaa la business /sub forum ujasiriamali kuna mtu anaitwa @elnino alikuja na mikwara zaidi yako alafu kilichompata huko kwenye kilimo utakisoma mwenyewe!maana alikuwa anatupatia mrejeshoVijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.
Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...
Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
Kajansi, Amicus Curiae, its a latin maxim inayomaanisha "a friend of the court", ndo mm sasa!
Huna lolote kuna mtu unamtumia salaam.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu iangamize CCM!!!!Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki CCM!
Kila mtu anang'ang'ania "bado sijavuna bado sijavuna", jamani utavunaje bila kupanda? mm najivunia kwasababu NIMETHUBUTU (kwa kupanda), na ww umeshathubutu kwenye eneo lipi???
Mungu akusaidie mwanasheria wangu....ni mfano mzuri wa kuigaVijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza. Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
ila kumbuka kuwa kila binadamu ananjia yake pekee ya mafanikio,ulipo pitia wewe siyo sawa na atapo pitia mwingine,kwahiyo huwedhi tambua yawedha kuwa mwingine "ubishoo" ndiyo njia yake ya mafanikio na wala siyo kilimo
hongera sana,ila Mungu akuepushe na ugonjwa mpya wa mahindi kwa maana ni majangaVijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.
Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...
Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
Vijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza.
Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...
Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
Kila mtu anang'ang'ania "bado sijavuna bado sijavuna", jamani utavunaje bila kupanda? mm najivunia kwasababu NIMETHUBUTU (kwa kupanda), na ww umeshathubutu kwenye eneo lipi???
Kajansi, Amicus
Curiae, its a latin maxim inayomaanisha "a friend of the court", ndo mm
sasa!
pamoja na kuwa watu wengi wamekusifia umethubutu lakini mi sijakusoma halaf naona kama vile unaleta stori za maskani au ni mtu ambaye una support kutoka sehemu nyingine aidha kwa wazazi au watu fulani, unapoleta thread kama hizi fikiria wale watu ambao walisoma shule za serikali au alilipiwa lakini baada ya kumaliza hamna msaada mwingine mkubwa wa kifedha atakaopewa zaidi ya nauli ya kwenda mjini ambayo ni buku, haya ngoja nikuulize halaf tuone kama dizain ya watu niliowataja watamudu au kw wataziweza izo gharama sio kuishia kutukana watu ovyo1. Hilo shamba la ekari 12 umekodi kwa kiasi gani ? So unafikiri watu wote waliomaliza chuo wanazo ?2. Na izo ekari 8 uliingia shambaoi mwenyewe kupiga jembe,? Kitu ambacho siamini. Au ulikodi vibarua au ng'ombe au trekta na kwa kiasi gani ? Nayo unafikiri wote waliomaliza chuo wanazo ?3. Gharama nyinginezo upaliliaji, mbegu.Haya gharama zote hizo ulipata wapi ? Your learned brotherVijana, kumbe tukithubutu tunaweza! Wakati nikiwa nasubiri ajira rasmi nikaona si vema kukaa nyumbani idle, nikakodisha shamba la takribani hekari 12 maeneo ya huku kwetu Tanga, lakini kwasababu naanza nikatumia hekari 08 tu kwa kupanda mahindi, nashukuru kwamba karibu asilimia 99 ya sehemu niliyoitumia imekua ni ya mafanikio kwani mahindi yamechomoza vizuri sana yakisaidiwa na mvua za rasharasha zinazoendelea Wilayani kwetu. Sasa naielewa vema dhana ya Kilimo Kwanza. Ushauri kwa Vijana wenzangu wa humu JF: Kwa wale mliomaliza Vyuo Vikuu kama mimi (bila kuzingati fani uliyosomea) na bado hamjaajiriwa, au hata kama hukufanikiwa kufikia level hiyo ya elimu ya Chuo Kikuu, tafadhali usibweteke nyumbani, unaweza kujaribu na kwenye kilimo tena bila kuona haya (weka ubishoo/ulimbwende pembeni). Kilimo ndio habari ya mujini...Mimi nimemaliza degree ya Sheria Chuo Kikuu Mzumbe lakini nimejiajiri kwenye Kilimo, wewe mtoto uliyesoma Diploma ya Sociology Ustawi wa Jamii unaleta Uyoyoo! Shauri lako!
Ushauri wa bure: Ukifanikiwa kuvuna next time usitegemee mvua, tafuta namna ya kumwagilia shamba lako. Vinginevyo.......!