Msaada kwa wanaojua NGO ya HEALTH GEAR

Msaada kwa wanaojua NGO ya HEALTH GEAR

Morick

Senior Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
114
Reaction score
17
Naomba kwa anayewajua Health Gear anifahamishe wapo wapi na wanafanya nini maana wametoa tangazo la kazi wakihitaji PROJECT OFFICERS bila kueleza kwa undani.-

Natanguliza shukurani
 
Ndugu jaribu google kama pia huwapati, mtafute totolucky humu ndani atakusaidia details zaidi
 
na mimi nahitaji kujua hawa health gear wapo wapi??
 
Tena wanataka na cha juu ili kumpa m2 maswali ya interview anayefahamu aokoe jahazi.
 
wamenitumia hii meseji leo asubuhi ""Habari, naitwa Shafii From Health Gear Dar. Nipo kikaoni tunapitia CV tupate majina ya kuinterview for Project officer. I Like your Cv na ntakusaidia upate hii kazi kwa sharti lifuatalo, Mshahara ni 1.5 Million kwa mwezi, ukilipwa mwezi wa kwanza utanipa Sh. Laki 3 for helping you, If you agree do the following, By saa 11 Jioni uwe Umetuma Scaned Copy Ya vyeti Vyako to africfuture@gmail.com Na Sh. Elfu 35 by Tigo pesa kwenye namba hiihii au M-pesa 0768978077 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye e-mail, Nikitoka kikaoni utapigiwa simu lini uje for Interview. "



Ndugu jaribu google kama pia huwapati, mtafute totolucky humu ndani atakusaidia details zaidi
 
Inaonekana hawa Health Gear ni matapeli kwa sababu huyo mtu anayeitwa Shafii mwenye simu 0652795853 amenitumia meseji ya kuniomba pesa ili anipe maswali ya interview. Hivi rushwa Tanzania imefikia hapo. Kama anavyodai yeye kuwa ni mmoja wa watu wanaokaa kwenye kikao cha kujadili watahiniwa, basi hata maadili ya kazi hayafahamu. Kwa hilo hata kazi yenyewe siihitaji tena kwani nyota njema huonekana asubuhi. Hii ni NGO ya wala rushwa.:spit:
 
Inaonekana hawa Health Gear ni matapeli kwa sababu huyo mtu anayeitwa Shafii mwenye simu 0652795853 amenitumia meseji ya kuniomba pesa ili anipe maswali ya interview. Hivi rushwa Tanzania imefikia hapo. Kama anavyodai yeye kuwa ni mmoja wa watu wanaokaa kwenye kikao cha kujadili watahiniwa, basi hata maadili ya kazi hayafahamu. Kwa hilo hata kazi yenyewe siihitaji tena kwani nyota njema huonekana asubuhi. Hii ni NGO ya wala rushwa.:spit:

Huyo kaka anaitwa Shafii ni tapeli mkubwa kashawaliza wengi yuko na mwenzie anaitwa Rachel tena tapel wa kike duh, usidanganyike ndugu take care, watu wengi walishalalamika humu ndani kwa ajili yake.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Watafuta kazi wanatapeliwa sana siku hizi. Wameshafanywa mtaji.
 
Watafuta kazi wanatapeliwa sana siku hizi. Wameshafanywa mtaji.
 
kupata kazi ishakuwa kazi na kwa kuwa tunauona usumbufu itatubidi kujiajiri ili tuwasaidie nacwengine
 
Back
Top Bottom